Recent content by kalanda

  1. K

    Lowassa: Wafanyakazi mkinichagua nitapunguza P.A.Y.E kutoka 18% mpaka 9%!

    kura kwa lowasa.wafanyakazi tumenyanyaswa vya kutosha...ccm ipumzike sio dhambi..Mbona nchi za wenzetu wamefanya,na matunda yanaonekana
  2. K

    Kuhusu Wanachuo Kipindi Cha Uchaguzi mkuu

    unapouliza swali,ni bora ukakielewa unachokiulizaaaa
  3. K

    Vipi hali ya Jimbo lako, upepo unavumaje?tupeane updates!

    Nipo iringa...msigwa (Cdm) hana mpinzaniiii.
  4. K

    Naanza kuona dalili ya serikali ya mseto

    Ccm ikae pemben,imetuumiza kila idara...wale wez wa escrow ...eti wamepitishwa na chama cha kijani kugombea ubunge....hawakutakiwa kupitishwa kugombea ubunge tena...
  5. K

    Magufuli, kupiga push ups ni busara? IQ vipi? Ipo?

    Ana piga pushap kwan ikulu, kuna mashindano ya ndondi.....watanzania hatuna shida na pushap.....matatizo yetu yapo bayana viongezi wetu wanashindwa kuyatatua.....cha msingi aeleze sera na si senema.
  6. K

    Magereza za Tanzania zina nafuu kubwa

    Unafuu gan...wa kula mlo mmoja kwa siku?
  7. K

    Biashara ya ng'ombe kutoa mikoani kuleta Dsm

    kununua pugu na kuuza palepale.unatakiwa uwe mzoefu sana.lasivo itakula kwako.Ni bora ufuate mkoa .
  8. K

    Utaratibu unaotumika kuanzisha huduma ya maabara na zahanati binafsi

    Umechanganya mada mbili tofauti.kati ya dispensary na kituo cha Afya.kituo cha afya ni centre kubwa ya matibabu ukilinganisha na disp,hata gharama na maitaji vitendea kazi na watoa huduma ni tofauti.so we unataka kuanzisha nn
  9. K

    Njoo tujadili namna ya kutengeneza zaidi ya mil 100 ndani ya mwaka mmoja

    Gunia moja la mpunga ukikoboa unapata kilo 90.dah iyo ni super proft....wakulima wa mpunga wangekuwa matajir aiseeee.sio ukweli gunia la mpunga upate kilo90.mi ndo kaz yangu hiyo.
  10. K

    Unaweza kutueleza ni kwanini unaichukia CCM?

    mfumo wote wa uongoz,kuanzia baroz had magogon.wameshindwa kupata jibu la kwa nn inchi yetu ni maskini.Na mbinu za kutokomeza umaskin hawana.
  11. K

    Mwigulu ahojiwa masaa matatu na TAKUKURU

    Mfumo wa uongoz umeoza kuanzia barozi nyumba kumi had juu.kupitia system hii, tutaendelea kudanganywa uchumi wa nchi unakua.ili hali wananchi ni maskini wa kutupwa.
  12. K

    Vijana kwenye Maandamano ya kumsindikiza Lowassa walipora mali

    Nguvu ya umma ikiamua,fitina hazina nafasi.
  13. K

    Nimpishe nani kwenye kiti kati ya hawa (Maadili)?

    Mama mjamzito ndo apewe kipaumbele.sema nao wanakera sana.wanaona bus imejaa.Naye anapanda akijua siti atapata tu.
Back
Top Bottom