Ccm ikae pemben,imetuumiza kila idara...wale wez wa escrow ...eti wamepitishwa na chama cha kijani kugombea ubunge....hawakutakiwa kupitishwa kugombea ubunge tena...
Ana piga pushap kwan ikulu, kuna mashindano ya ndondi.....watanzania hatuna shida na pushap.....matatizo yetu yapo bayana viongezi wetu wanashindwa kuyatatua.....cha msingi aeleze sera na si senema.
Umechanganya mada mbili tofauti.kati ya dispensary na kituo cha Afya.kituo cha afya ni centre kubwa ya matibabu ukilinganisha na disp,hata gharama na maitaji vitendea kazi na watoa huduma ni tofauti.so we unataka kuanzisha nn
Gunia moja la mpunga ukikoboa unapata kilo 90.dah iyo ni super proft....wakulima wa mpunga wangekuwa matajir aiseeee.sio ukweli gunia la mpunga upate kilo90.mi ndo kaz yangu hiyo.
Mfumo wa uongoz umeoza kuanzia barozi nyumba kumi had juu.kupitia system hii, tutaendelea kudanganywa uchumi wa nchi unakua.ili hali wananchi ni maskini wa kutupwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.