CosaNostra
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 382
- 139
Its physical fitness madam, hata kina Obama kutrot katika ngazi ni vikorombwezo hivyo hivyo, tunataka kujua kama rais wetu anaweza kwenda chooni bila msaada, la sivyo ni aibu kwa taifaSi ana PhD huyu mheshimiwa?
Mimi labda nifahamishwe tu, what point was he trying to prove, and why. Basi. Nisaidieni kujua hili.