Recent content by Kalamu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Hii ndio hali halisi ya Mkutano wa Chadema Sirali, Hakuna namna yoyote ya kudhibiti hiki Chama hata mkiteka na kuuwa

    Kama zile kura 30 milioni alizopata samia Oktoba 2025, au siyo? Mara nyingi unaandika uchafu humu ndani ya JF kiasi kwamba unajionyesha kuwa na upungufu kichwani mwako.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Nchimbi: sasa naelewa mtifuano ndani ya CCM ni ukombozi kwa Taifa

    Ninakubaliana na wewe kuhusu nafasi ya kipekee na adimu sana hii tunayopewa ya "ukombozi wetu"; ila suala la "kuombea" haitoshi bila ya kusimama naye bega kwa bega katika mapambano haya ya ukombozi. Maombezi tu kwake, hayatakuwa na tofauti kubwa na yaliyotokea Oktoba 29. Watammaliza haraka...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Hongera zako pia, pamoja na kutojibu swali.. Hiyo si haba.
  4. K

    JamiiForums Tanzania CCM imeshaanza kujiteulia wasulihishi na wapatanishi wa mauaji ya October 2025

    Hakuna mbadala wa hili. Ulaghai na mazingaombwe yakomeshwe sasa.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    "kifo ni kifo tu". Hayo maneno sijayasema mimi, aliyeyasema bila shaka na yeye anajuwa kinamhusu, tena haraka zaidi ya alivyotegemea.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    Sasa huyo mleta mada ndiyo "wapinzani"?
  7. K

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    Kwani yaliyowasilishwa kwenye hiyo mada ndiyo mawazo ya wapinzani. Nini kinakufanya wewe uamini hivyo? Na wapinzani wapi hasa, au unawazungumzia CHADEMA? Sijaona mwakilishi yeyote wa CHADEMA aliyedai usahihi wa hayo yaliyoelezwa ndani ya andiko. Hayo uliyoandika huko chini wewe mwenyewe, ni...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    Ndio. Historia hiyo ni muhimu pia isisahaulike; kwa sababu ni alama muhimu kumhusu yeye; kwamba hayumbiyumbi tu, bali kuna mambo anayoyaamini ndani ya dhamira yake. Hicho ni kigezo muhimu kwa kiongozi yeyote.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Unaweza kudhani ni habari za kutunga

    Ninachojuwa bila ya shaka yoyote, huu siyo mwandiko wa mleta mada. Kuna mtu kaazima jina. Ni muhimu kulibainisha hili kabla ya mjadala wa mada yenyewe. Kuhusu mada: Mgombea yeyote anayejiegemeza kwenye kundi la Genge na Samia Suluhu Hassan; hiyo ni sifa kuu inayomwondoa mhusika katika...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Za siku mkuu. Ile 35 ilishafika 45! ya kwangu ilishatoka 50 hadi 60 sasa hivi.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Ndiyo sababu nitamheshimu Nchimbi kama ataamua kutojiuzuru na kuhama chama. Asimame humo humo kama kuna analoliamini juu ya chama chake na kulisimamia. That would certainly not be a "load of rubbish"!
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Hapana. Mimi ningempa sanasana 70%. kaziacha sehemu kadhaa zikining'inia bila ya maelezo ya kutosha.. Kwa mfano: Huo mtiririko wa vikao, kuanzia Kamati ya Maadili, hadi jambo linavyoweza kufikishwa kwenye Halmashauri Kuu ya Chama haikunyooka sawasawa ikaeleweka. Ni vigezo vipi vitalifikisha...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Pamoja na ubovu ilioufikia CCM; siamini hata mara moja kwamba ndani ya chama hicho hawamo waTanzania wanaoumizwa sana na hali ilivyo sasa katika taifa hili. Kama waTanzania hawa watashindwa angalau kujipanga nyuma ya huyu mmoja anayejaribu kuonyesha uthubutu mbele ya Genge lililokiteka chama...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Emmanuel Nchimbi anayo nafasi nzuri na adhimu sana ya kujijengea heshima ndani ya taifa hili. Hii ni fursa ya kipekee kabisa aliyonayo kama atajuwa namna ya kuitumia ipasavyo. Natumaini hatateteleka. Awe mtulivu tu, na ajue namna ya kuwakabili hawa watu waovu kabisa waliowahi kutokea katika...
  15. K

    JamiiForums Tanzania DOKUMENTARI - Usaliti kwa MAGUFULI Hadi Saa Yake ya Mwisho

    "...usimamiaji wa Katiba..." Magufuli alikuwa sifa hii au kuna Magufuli mwingine huko ulikokuwa wewe? Ukichukulia hiki kigezo pekee, ambacho ni kikuu zaidi pengine kuliko vingine vyote, Magufuli hatakuwa mbali na kundi la Samia. Hawa watakuwa wa mwisho kabisa kati ya marais wote waliowahi...
Back
Top Bottom