Kama zile kura 30 milioni alizopata samia Oktoba 2025, au siyo?
Mara nyingi unaandika uchafu humu ndani ya JF kiasi kwamba unajionyesha kuwa na upungufu kichwani mwako.
Ninakubaliana na wewe kuhusu nafasi ya kipekee na adimu sana hii tunayopewa ya "ukombozi wetu"; ila suala la "kuombea" haitoshi bila ya kusimama naye bega kwa bega katika mapambano haya ya ukombozi.
Maombezi tu kwake, hayatakuwa na tofauti kubwa na yaliyotokea Oktoba 29.
Watammaliza haraka...
Kwani yaliyowasilishwa kwenye hiyo mada ndiyo mawazo ya wapinzani. Nini kinakufanya wewe uamini hivyo?
Na wapinzani wapi hasa, au unawazungumzia CHADEMA?
Sijaona mwakilishi yeyote wa CHADEMA aliyedai usahihi wa hayo yaliyoelezwa ndani ya andiko.
Hayo uliyoandika huko chini wewe mwenyewe, ni...
Ndio.
Historia hiyo ni muhimu pia isisahaulike; kwa sababu ni alama muhimu kumhusu yeye; kwamba hayumbiyumbi tu, bali kuna mambo anayoyaamini ndani ya dhamira yake.
Hicho ni kigezo muhimu kwa kiongozi yeyote.
Ninachojuwa bila ya shaka yoyote, huu siyo mwandiko wa mleta mada. Kuna mtu kaazima jina.
Ni muhimu kulibainisha hili kabla ya mjadala wa mada yenyewe.
Kuhusu mada: Mgombea yeyote anayejiegemeza kwenye kundi la Genge na Samia Suluhu Hassan; hiyo ni sifa kuu inayomwondoa mhusika katika...
Ndiyo sababu nitamheshimu Nchimbi kama ataamua kutojiuzuru na kuhama chama. Asimame humo humo kama kuna analoliamini juu ya chama chake na kulisimamia.
That would certainly not be a "load of rubbish"!
Hapana.
Mimi ningempa sanasana 70%.
kaziacha sehemu kadhaa zikining'inia bila ya maelezo ya kutosha..
Kwa mfano:
Huo mtiririko wa vikao, kuanzia Kamati ya Maadili, hadi jambo linavyoweza kufikishwa kwenye Halmashauri Kuu ya Chama haikunyooka sawasawa ikaeleweka. Ni vigezo vipi vitalifikisha...
Pamoja na ubovu ilioufikia CCM; siamini hata mara moja kwamba ndani ya chama hicho hawamo waTanzania wanaoumizwa sana na hali ilivyo sasa katika taifa hili.
Kama waTanzania hawa watashindwa angalau kujipanga nyuma ya huyu mmoja anayejaribu kuonyesha uthubutu mbele ya Genge lililokiteka chama...
Emmanuel Nchimbi anayo nafasi nzuri na adhimu sana ya kujijengea heshima ndani ya taifa hili.
Hii ni fursa ya kipekee kabisa aliyonayo kama atajuwa namna ya kuitumia ipasavyo.
Natumaini hatateteleka. Awe mtulivu tu, na ajue namna ya kuwakabili hawa watu waovu kabisa waliowahi kutokea katika...
"...usimamiaji wa Katiba..." Magufuli alikuwa sifa hii au kuna Magufuli mwingine huko ulikokuwa wewe?
Ukichukulia hiki kigezo pekee, ambacho ni kikuu zaidi pengine kuliko vingine vyote, Magufuli hatakuwa mbali na kundi la Samia. Hawa watakuwa wa mwisho kabisa kati ya marais wote waliowahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.