Recent content by Kalamu

  1. K

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Usihadaike. Jaribu kuelewa kinachoendelea. Hakuna urafiki wowote kati ya hao; na wala hatulazimiki kushiriki na yeyote kama koloni lao jipya. Ni watawala hawa wasiojitambua ndio wanaotupeleka kwenye matatizo yasiyokuwa ya lazima. Matatizo yetu ni lazima tuyatatue wenyewe, uwezo huo tunao sana.
  2. K

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Hata aibu huna kuandika maneno kama hayo. Wewe na Samia hamna taifa lolote mnalolitetea zaidi ya manufaa kwenu na genge lenu. Maandishi yako yote humu unajifanya huyakumbuki. Hakuna jambo lolote linalokuleta humu wewe ila kuona waTanzania wakiwa chini ya miguu yenu wapumbavu nyinyi. Mnataka...
  3. K

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    I.ve no recollection, if ever I've read any opinion from you in this forum. And if indeed you're 22 as you claim, and happen to have such an awesome perspective as you have expressed hereI would very much like to know more about this wonderfull kid emerging from the ashes of what used to be a...
  4. K

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Yale yale ya siku zote; huna unachosimamia maishani mwako zaidi ya ulaghai tu. Hao hao unaowasema mnalipa kikampuni dola 45,000 kila mwezi ili kiwasaidie muonekane wasafi; sasa hapa unakuja na kujifanya hayo huyajui wala huyakumbuki; wakati ni mwenzio Kombo ndiye mwendesha shughuli hizo...
  5. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Kombo: Kila nchi tuliyoenda tuliambiwa kwanini Serikali haikuja mapema, tulidanganywa kuhusu matukio ya Oktoba 29

    "HAMTAWEZA KUTUUA TENA" Na wao wakaendelea kubaki salala. HAIWEZEKANI.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama inasema nini kuhusu kesi ya Tundu Lissu kwa sasa?

    Yatunze vizuri haya maneno yako. Tutayajadili siku moja kama hali inaendelea kuwa siyo ya kueleweka.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama inasema nini kuhusu kesi ya Tundu Lissu kwa sasa?

    Kama hukunielewa mwanzo, ni kuwa haya ya "Mswada wa vikwazo" hauna msaada mkubwa kwetu kama nchi. Mswada utakuwa na maana tu pale tutakapoutumia sisi wenyewe utusaidie kubadili hali yetu hapahapa.. Kwa Samia huo mswada unamsaidia kuwa na uhakika wa kumaliza 2030 kama sisi wenyewe...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama inasema nini kuhusu kesi ya Tundu Lissu kwa sasa?

    Unakimbia mbio mno mkuu 'CHIEF'; hebu kwanza tuache tupate pumzi kwanza na haya mapya!
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama inasema nini kuhusu kesi ya Tundu Lissu kwa sasa?

    Basi subiri ya Samia mhalifu; hii nyingine haikuhusu wewe mtoto nguruwe yatima.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama inasema nini kuhusu kesi ya Tundu Lissu kwa sasa?

    Kwa hiyo wewe nikueleweje; kwamba ni mtoto nguruwe yatima aliyeachwa na huo mzoga niliouelezea hapo juu?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama inasema nini kuhusu kesi ya Tundu Lissu kwa sasa?

    Pamoja na hayo; tusisahau pia mahakama hiyo hiyo imeamua kesi nyingine inayoihusu CHADEMA (Mgawanyo wa mali). Ndani ya mahakama pia kuna waTanzania wa aina mbalimbali. Ni muhimu kuwatia moyo wanaopambana juu ya nchi yao wakiwa huko huko.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama inasema nini kuhusu kesi ya Tundu Lissu kwa sasa?

    Samahani sana mkuu 'August', kuweka matumaini kwa huo mswada ni kuendelea kukubali Samia Suluhu Hassan amalize muda wake hadi 2030. 'Luxury' ya namna hiyo haipo.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama inasema nini kuhusu kesi ya Tundu Lissu kwa sasa?

    Nilishakueleza toka siku nyingi; wewe ni mzoga wa nguruwe anayeoza mtaani na unaliwa na mapaka na mbwa wa huko mitaani. Huna lolote unaloweza kuchangia katika mada yotote hapa JF. Wewe ni mzoga tu unaoeneza taharuki. na maudhi
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama inasema nini kuhusu kesi ya Tundu Lissu kwa sasa?

    Nitamwomba mkuu 'Quinine' katika ile mada yake ya "Shukrani kwa wanamapambano" asisahau mchango mkubwa unaotolewa na watu kama hawa, akina 'Mshana Jr'. na wengi wengine.
  15. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama inasema nini kuhusu kesi ya Tundu Lissu kwa sasa?

    Naelewa unachojaribu kueleza; lakini sikubaliani na mambo mawili katika haya uliyoandika hapa. "Huyo rais wenu", na "hao wazenji" sina haja ya kuyaeleza, yatafakari mwenyewe.
Back
Top Bottom