Usihadaike. Jaribu kuelewa kinachoendelea. Hakuna urafiki wowote kati ya hao; na wala hatulazimiki kushiriki na yeyote kama koloni lao jipya.
Ni watawala hawa wasiojitambua ndio wanaotupeleka kwenye matatizo yasiyokuwa ya lazima.
Matatizo yetu ni lazima tuyatatue wenyewe, uwezo huo tunao sana.
Hata aibu huna kuandika maneno kama hayo.
Wewe na Samia hamna taifa lolote mnalolitetea zaidi ya manufaa kwenu na genge lenu.
Maandishi yako yote humu unajifanya huyakumbuki.
Hakuna jambo lolote linalokuleta humu wewe ila kuona waTanzania wakiwa chini ya miguu yenu wapumbavu nyinyi.
Mnataka...
I.ve no recollection, if ever I've read any opinion from you in this forum.
And if indeed you're 22 as you claim, and happen to have such an awesome perspective as you have expressed hereI would very much like to know more about this wonderfull kid emerging from the ashes of what used to be a...
Yale yale ya siku zote; huna unachosimamia maishani mwako zaidi ya ulaghai tu.
Hao hao unaowasema mnalipa kikampuni dola 45,000 kila mwezi ili kiwasaidie muonekane wasafi; sasa hapa unakuja na kujifanya hayo huyajui wala huyakumbuki; wakati ni mwenzio Kombo ndiye mwendesha shughuli hizo...
Kama hukunielewa mwanzo, ni kuwa haya ya "Mswada wa vikwazo" hauna msaada mkubwa kwetu kama nchi.
Mswada utakuwa na maana tu pale tutakapoutumia sisi wenyewe utusaidie kubadili hali yetu hapahapa..
Kwa Samia huo mswada unamsaidia kuwa na uhakika wa kumaliza 2030 kama sisi wenyewe...
Pamoja na hayo; tusisahau pia mahakama hiyo hiyo imeamua kesi nyingine inayoihusu CHADEMA (Mgawanyo wa mali).
Ndani ya mahakama pia kuna waTanzania wa aina mbalimbali.
Ni muhimu kuwatia moyo wanaopambana juu ya nchi yao wakiwa huko huko.
Samahani sana mkuu 'August', kuweka matumaini kwa huo mswada ni kuendelea kukubali Samia Suluhu Hassan amalize muda wake hadi 2030. 'Luxury' ya namna hiyo haipo.
Nilishakueleza toka siku nyingi; wewe ni mzoga wa nguruwe anayeoza mtaani na unaliwa na mapaka na mbwa wa huko mitaani.
Huna lolote unaloweza kuchangia katika mada yotote hapa JF.
Wewe ni mzoga tu unaoeneza taharuki. na maudhi
Nitamwomba mkuu 'Quinine' katika ile mada yake ya "Shukrani kwa wanamapambano" asisahau mchango mkubwa unaotolewa na watu kama hawa, akina 'Mshana Jr'. na wengi wengine.
Naelewa unachojaribu kueleza; lakini sikubaliani na mambo mawili katika haya uliyoandika hapa.
"Huyo rais wenu", na "hao wazenji"
sina haja ya kuyaeleza, yatafakari mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.