Recent content by Kalamu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Imepangilika vizuri sana. Na kumbuka, hayo yanahusu maswala ya uchaguzi pekee. Kuna wanaCHADEMA wengi sana walioumizwa na kuuawa, kama akina Mzee Kibao, akina Mdude. Watu kwenda mahakamani kusikiliza kesi tu, wanakutana na vipigo na kwenda kutupwa porini! Halafu bado kuna watu hawaelewi kabisa...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Sasa mtu unasoma maonevu yooote haya aliyoelezea Heche, halafu usiguswe kabisa moyoni mwako! Eti kwa vile tu unafaidika kutokana na uovu wanaofanyiwa waTanzania wenzako!
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Na kafanya kazi nzuri kabisa juu ya hilo. Kazi ya Lissu haijawahi kujificha hata siku moja. Na kumbuka, kazungumzia ya huko Tarime pekee na hajagusia mengine ya kutetea waTanzania sehemu zingine. Wengi wanaompinga Lissu ni kwa sababu ya mtindo wake wa 'in your face'; hana ujinga ujinga wa...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Unazungumzia mahakama ipi wewe, ile ya Roast Aziz? Watu mnajiondoa akili vichwani kwa ushabiki tu usiokuwa na msingi. Pamoja na kujuwa ujuha wako, lakini ngoja nikuulize swali, hata kama huna uwezo wa kulijibu: Hivi zile 4R za Samia zilizokuwa na R moja ikitamka "REFORM"; hiyo reform ilihusu...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Hii sheria mbovu itafutwa na haitatambuliwa kuwalinda hawa wanaofanya maovu waziwazi kwa waTanzania. There must be a way around it. Hakuna sheria inayolinda wahalifu wanaojuwa wazi wazi kuwa wanafanya uhalifu dhidi ya wanaowaongoza.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Hivyo ni unavyoona wewe. Kuna wengine kuna kiasi cha kunyanyaswa wasichoweza kukivumilia. Unayoeleza hapa wewe ndiyo yaliyotufikisha hapa leo kunyanyaswa na mtu duni kabisa kama Samia.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Yote haya mnayasababisha nyinyi, watu mnaomfanyia kazi ovu Samia Suluhu Hassan. Siku zake zinaelekea ukingoni. Hizi ni dalili za mwanzomwanzo tu!
  8. K

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume ameonekana kwenye Hitma ya Hafidh Ameir

    Nimetatizwa na huu msemo, kwa hiyo inanibidi niulize swali Kati ya Samia (mtu mhalifu) na Tanzania ni kipi chenye maslahi kwa maoni yako mkuu 'Al Watan'?
  9. K

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume ameonekana kwenye Hitma ya Hafidh Ameir

    Samia ndiye muumba wake?
  10. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Daktari aliyempiga Polisi usalama barabarani hajulikani alipo

    Watu wa taifa hili kunyanyaswa kiasi hiki, hakuna aliyetegemea kwamba ingewezekana. Sasa tunayashuhudia wenyewe, na wote ni kama tumepuliziwa dawa ya kutuzima akili vichwani! Inasikitisha sana.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Hilo wewe umelijulia wapi kama halikuhusu wakati unapomaliza msokoto wa bangi! Akili yako imeharibika kabisa, na watu wa aina yako Samia anawapenda sana kuwatumia kufanya uchafu wake. Yatakapompata ya kumpata, nyote nguruwe wake hamtamsaidia kwa chochote.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Hiyo "heat period" ndio kitu gani hicho! Ninapokwambia wewe ni chizi mvuta bangi usifikiri nakuonea tu bila ya sababu.. Dalili zote zinaonyesha wewe ni mwathirika.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Huyo Samia anayekufuga wewe kama nguruwe unafikiri anao wafuasi wangapi?
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda amaliza kutoa ushahidi Mahakamani Septemba 9, 2026

    Hao milioni 70 ni mali yako na samia? Hii akili ya kipumbavu mnaitoa wapi?
  15. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini dhidi ya Lissu: Brenda aendelea kutoa ushahidi

    Mimi nakwambia, Samia is in a worse situation; kama hujui!
Back
Top Bottom