Unaona sasa?
Mimi nisiwe tatizo; bali ubongo wangu ndio uwe tatizo!
Hiyo elimu inayothibitishwa na karatasi ulilopewa huko chuoni ndiyo inayothibitisha namna hii ya kufikiri?
EEeeenHEEEEe!
"Elimu ndogo" au siyo?
Hiyo _akili ndogo" ndiyo uliyotegemea ijazie na kufafanua hayo maandamano utayaleta vipi ili waTanzania wayaunge mkono?
Na yawe mahsusi yakimlenga Tundu Lissu; bila kujali kuwa wapo na wataendelea kuwepo waTanzania watakaoingizwa magerezani kwa mtindo huo huo...
Ziko wapi8 hizo "principle zake" unazozijuwa wewe; bila hata ya kutaka kujuwa "definition" yake!
Ujuwe 'principles', lakini huna uelewa hizo 'principles' zinahusu kitu/jambo gani; hii ni akili ya aina gani?
Hili ulilisikia mahali ; ukalikalili hivyo hivyo bila ya kujuwa maana yake ni nini, na...
Mimi nimekumbuka mfano wa harakaharaka; hata kama siyo wa kifo:
Mtu kama Stephen Masatu Wasira akiswekwa ndani kwa sababu yoyote ile, nitaanzia wapi kumwonea huruma na kupaza sauti aachiwe huru! Badala yake nitanunua soda na kuburudika juu ya mkasa wake.
Huo ni mfano wa aina hiyo; lakini kwa...
Na unajuwa/unaamini aliyeyaasisi maneno hayo "kifo ni kifo tu", huyo hatakufa, hata kama wewe mwenyewe unajuwa utakufa!
Hiyo ndivyo ilivyo akili ya nguruwe wote wanaofugwa na mwasisi wa msemo huo wa kipumbavu kabisa.
Ujumbe umekwisha kufikia, ni juu yako kujitafakari na kuelewa lengo la mada zako zisizokuwa na lengo zinamsaidia nani hasa.
Hapa humsaidii chochote Tundu Lissu na mada kama hii; sana sana ni kama unatafuta tu kuwaonyesha hao waliomweka gerezani kuwa wasihofu chochote kwa kufanya wanayofanya...
Najuwa haitoshi kumpa pole, na maelezo mengi juu ya kunyimwa HAKI, wengi tu, kwa sababu mbalimbali ndani ya taifa hili.
Badala ya kuwa na fikra za nafuu ya kufa; ni bora kuwa na uhai na kujaribu kutafuta mabadiliko katika mfumo uliopo unaodhalilisha maisha ya waTanzania.
Mabadiliko hayaletwi...
Kwa huyu, Tanzania nzima italipuka kwa vigelegele, bila kujali vyama vya siasa. Tena huko CCM ndiko kutakuwa na sherehe kabisa.
Kukitokea fursa, maiti ya huyu inaweza kuburuzwa kwenye mavumbi nyuma ya pickup; kama walivyofanya wasomali na maiti za wamarekani.
Mtu anayeua waTanzania kwa sababu...
Umeng'ang'ania "demokrasia" ambayo hata maana yake huijui.
Unanihusisha kuwa mtetezi wa mfumo huo bila kuwa na ushahidi wowote; hata baada ya kukufahamisha na kukupa mifano halisi kukuonyesha kuwa demokrasia siyo 'panacea' ya maendeleo. Ni kama unaposoma ulichojibiwa huelewi kilichoandikwa...
Basi inatosha kusema wewe ni chizi tu usiye na mwelekeo wowote unaoelekea.
Ni dhahiri katika maandishi yako kuwa huna uwezo wa kujieleza; hata hiyo dhana potofu uliyonayo huwezi kuieleza ukaeleweka.
Huyu alikuwa ni mmoja wa wagombea nafasi ya Uenyekiti wa chama.
Kura alizopata zingemfanya asite kusemea maswala ya chama; kwa sababu hana ushawishi wowote ndani ya chama.
Huyu sasa ndiyo sumu iliyobaki ndani ya chama hicho inayoendelea kutumiwa na kundi la waovu kujaribu kupenyeza mtafaruku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.