Recent content by Kalamu ya Mwananchi

  1. K

    Mzee Warioba: Wabunge huchaguliwa kwa misingi ya Ukabila na Bahasha

    Njia pekee ya kupunguza na kuondoa hilo, ni kutumia mfumo wa uwakilishi wenye uwiano(proportional representation) kwenye kuchagua wabunge, madiwani etc. Hii inasaidia sana hata makundi madogo madogo, kwenye jamii au eneo fulani kupata uwakilishi kwenye vyombo hivyo. Pia inasaidia vyama vidogo...
  2. K

    Spika Ndugai: Kutoka 'kuua' upinzani Bungeni hadi kuwa 'mpinzani' Bungeni

    What goes around comes around. Ni vile binadamu tunajisahau sana.
  3. K

    Gerson Msigwa: Gazeti la Tanzanite inawezekana lilithibitisha kuwa Zitto na Maalim Seif waligombania shoga

    Naona CCM imerudi kwenye enzi zake za kuchafuana na kurushiana matope. Sijui wataacha lini haya mambo. Msigwa katumwa.
  4. K

    Kuanzia kesho kwenye kesi ya Mbowe tutarajie lolote kumtokea Boniface Jacob mahakamani au nje ya mahakama

    Kwa polisi wetu walivyo mbumbumbu watafanya hivyo kweli. Wanasahau hiyo kazi anaweza akafanya mtu mwingine yoyote yule, kuanzia mawakili hadi wahudhuriaji, mtu mwingine anaweza kuingia na simu na kutuma updates. Mwishoni wanakuwa hawajasolve chochote zaidi ya kujihangaisha tu.
  5. K

    Rais Samia vipi akiwa kwenye 18 za Stephen Sucker kipindi cha Hard Talk?

    Hamna kiongozi wa CCM ambae anaweza kuhimili mahojiano ya aina hiyo. Wao wanaweza zile interview rojo rojo, za kutumiwa maswali kabla.
  6. K

    Sikutegemea Kama Mbowe ni mkubwa kiasi hiki

    Na yeye natumai kuna kitu amejifunza. Wapinzani wako sio wa kuwaachia nafasi kizembe, sasahivi wanamhangaisha. Chama kizima inabidi kiweke effort kupambania.
  7. K

    Sikutegemea Kama Mbowe ni mkubwa kiasi hiki

    Angesema in public kuwa walinzi wake wamekamatwa na makosa ya ajabu ajabu. Lakini swala la kukaa kimya ni ubinafsi wa hali ya juu, inaleta picha mbaya. Mbona huko nyuma wafuasi wachadema, wanachama, au watu wake wakaribu wakikamatwa na kupewa kesi zisizo na kichwa wala miguu, huwa anapazaga...
  8. K

    Sikutegemea Kama Mbowe ni mkubwa kiasi hiki

    CHADEMA inahitaji mabadiliko ya uongozi, Mbowe apumzike. Mpaka hapo alipoifikisha inatosha. Lasivyo chama kinazidi kuonekana mali ya mtu binafsi. Wapo watu wengi wenye uwezo ndani ya chama, ambao wanaweza kuchukua nafasi ya uenyekiti na kukipeleka chama to greater heights. Shida CHADEMA...
  9. K

    Sikutegemea Kama Mbowe ni mkubwa kiasi hiki

    Pamoja na kuwa hii kesi imekaa kisiasa, ila kitendo cha yeye kutokupaza sauti mapema walinzi wake walivyokamatwa na kupewa hii kesi, ilikuwa ni jambo baya. Tokea mwaka jana watu wamekamatwa, yeye hakusema chochote. Hapo ndo utajua wanasiasa ni self serving. Yeye akamute na kuwatelekeza, sio...
  10. K

    Mbunge Viti Maalum Neema Lugangira ampongeza Rais Samia kwenda Marekani

    Hao ndo wabunge wa chama cha mapinduzi, akili zao zinawaza kusifia sifia tu na kumpamba rais, hata kwa vitu ambavyo ni vya kawaida sana.
  11. K

    Serikali imeahidi shirika la Fedha Duniani, IMF kwamba itaanza kutoa takwimu za wagonjwa wa covid na vifo kila wiki kuanzia mwishoni mwa Septemba

    Halafu baadae pongezi zote zitaenda kwa Samia, kumbe ni masharti ya mkopo. Ila umasikini wa fikra ni mbaya sana, nchi inarasilimali za kutosha ila tuna serikali omba omba. Kwa rasilimali tulizonazo kama tungepata viongozi wazuri na waadilifu, tungekuwa mbali sana. Serikali isiyo na maono...
  12. K

    Tanzania Govt to table a Supplementary Budget in February 2022

    Serikali imefilisika. Pesa hakuna. Waache matumizi yasiyo ya msingi na wao, maana serikali inapoteza fedha nyingi kwenye mambo yasiyo ya maana.
  13. K

    Madaktari waishauri Serikali chanjo ya Corona kuwa ya lazima

    People have a right to their own body, hii ni moja ya kanuni kuu za haki za binadamu. Ndo maana hata wagonjwa wanakuwa na haki ya kukataa tiba. Huwezi kulazimisha watu kuchanja, watumie akili kushawishi watu, na sio kwenda kinguvu nguvu. Kama serikali haiwezi ikawalinda watumishi wa afya na...
  14. K

    Nini kifanyike ili kiongozi asipendelee kwao kama Hayati Dkt. Magufuli alivyoipendelea Chato?

    Ugatuzi wa madaraka. Magufuli alikuwa anafanya kazi iliyokuwa ifanywe na local government institutions, ila tu yeye alipendelea eneo/wilaya moja. Kungekuwa na serikali za mitaa/mikoa ambazo ziko huru kujiamulia mambo yake na kutekeleza mipango yake mwenyewe, Magufuli asingekuwa na haja ya...
Back
Top Bottom