Spika Ndugai: Kutoka 'kuua' upinzani Bungeni hadi kuwa 'mpinzani' Bungeni

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Maisha hayatabiriki. Maisha yana mambo mengi ya ajabu na yenye kutoa majibu.

Maisha yanakwenda kasi sana. Job Yustino Ndugai, Mbunge wa Kongwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yamemfika.

Yamemkuta na amefikishwa kwenye ukuta. 'Ameropoka'; akajitetea, akaomba radhi lakini hakukubaliwa.

Rais 'kumjibu' kwa 'kumtaja' hadharani inamaanisha kuwa msamaha haukutolewa.

Lazima jambo liwe.

Ndugai na historia ya kuukandamiza upinzani Bungeni. Tangu mwanzoni mwa utawala wa Mwendazake na baada ya Ndugai kupokea maelekezo ya kuwashughulikia wapinzani ndani ya Bunge na nje kuachwa Mwendazake mwenyewe, Ndugai alikuwa mahiri bila ubahili katika kusimamia maagizo kutoka juu katika kuwashughulikia wapinzani.

Aliwafukuza kutoka Ukumbi wa Bunge Wabunge wa upinzani; aliwaburuza Kamati ya Maadili; aliwasimamisha kwa tambo wahusika na hata kuwatisha.

Kilele cha yote ni pale alipomvua kikatili Ubunge Tundu Lissu.

Ndugai aliona ameyapatia. Aliona amefika. Alikuwa akicheka kwa mateso ya wenzake na kukasirika kwa mafanikio ya wapinzani Bungeni. Upinzani ukafika tamati Bungeni mwaka 2020 baada ya 'uchafuzi mkuu' wa mwaka huo.

Upinzani ukafutwa Bungeni. Ndugai akafurahi sirini na hadharani.

Akakiona kiti cha Spika rahisi na chepesi kuliko nyasi katika kukiongoza bila kuunguza.

Akaendelea kuwakera wapinzani kwa kuwaapisha na kuwakumbatia Wabunge haramu 'wa CHADEMA' wakiongozwa na Halima Mdee.

Leo, karma imemrudi Ndugai.

Haaminiki.
Hatakiwi.
Hapendwi.
Hathaminiki.
Haeleleweki.

Hapokelewi simu zake wala kujibiwa jumbe zake.

Hapewi ushirikiano na wale alioamini walikuwa wakimfurahia.

Amekwama. Anahema. Anazama. Amekuwa mpinzani wao Bungeni.

Amekuwa mpingaji wao chamani. Amekuwa mpinzani wao sirini na hadharani.

Upinzani umefufuka Bungeni kupitia yeye. Hakika, karma is real!

Spika Ndugai asithubutu kuongoza kikao chochote cha Bunge.

Akifanya hivyo, hataupenda mwisho wake utakaorushwa mubashara runingani.

What goes around, comes around!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
 
Maisha hayatabiriki. Maisha yana mambo mengi ya ajabu na yenye kutoa majibu. Maisha yanakwenda kasi sana. Job Yustino Ndugai, Mbunge wa Kongwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yamemfika. Yamemkuta na amefikishwa kwenye ukuta. 'Ameropoka'; akajitetea, akaomba radhi lakini hakukubaliwa. Rais 'kumjibu' kwa 'kumtaja' hadharani inamaanisha kuwa msamaha haukutolewa. Lazima jambo liwe.

Ndugai na historia ya kuukandamiza upinzani Bungeni. Tangu mwanzoni mwa utawala wa Mwendazake na baada ya Ndugai kupokea maelekezo ya kuwashughulikia wapinzani ndani ya Bunge na nje kuachwa Mwendazake mwenyewe, Ndugai alikuwa mahiri bila ubahili katika kusimamia maagizo kutoka juu katika kuwashughulikia wapinzani. Aliwafukuza kutoka Ukumbi wa Bunge Wabunge wa upinzani; aliwaburuza Kamati ya Maadili; aliwasimamisha kwa tambo wahusika na hata kuwatisha. Kilele cha yote ni pale alipomvua kikatili Ubunge Tundu Lissu.

Ndugai aliona ameyapatia. Aliona amefika. Alikuwa akicheka kwa mateso ya wenzake na kukasirika kwa mafanikio ya wapinzani Bungeni. Upinzani ukafika tamati Bungeni mwaka 2020 baada ya 'uchafuzi mkuu' wa mwaka huo. Upinzani ukafutwa Bungeni. Ndugai akafurahi sirini na hadharani. Akakiona kiti cha Spika rahisi na chepesi kuliko nyasi katika kukiongoza bila kuunguza. Akaendelea kuwakera wapinzani kwa kuwaapisha na kuwakumbatia Wabunge haramu 'wa CHADEMA' wakiongozwa na Halima Mdee.

Leo, karma imemrudi Ndugai. Haaminiki. Hatakiwi. Hapendwi. Hathaminiki. Haeleleweki. Hapokelewi simu zake wala kujibiwa jumbe zake. Hapewi ushirikiano na wale alioamini walikuwa wakimfurahia. Amekwama. Anahema. Anazama. Amekuwa mpinzani wao Bungeni. Amekuwa mpingaji wao chamani. Amekuwa mpinzani wao sirini na hadharani. Upinzani umefufuka Bungeni kupitia yeye. Hakika, karma is real!

Spika Ndugai asithubutu kuongoza kikao chochote cha Bunge. Akifanya hivyo, hataupenda mwisho wake utakaorushwa mubashara runingani.

What goes around, comes around!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Wasema ukweli bila unaa ndani Yao Mungu awabariki sana.
 
Ndugai alijiona Goliath mbele ya wangonge ambao aliwapachika majina ya wapinga maendeleo.

Alijiona anauwezo wa kuua na kurarua bila kujua kuwa karma is a bitch.

Sasa anataka huruma ya wale aliowatesa na kuwatakia kifo.

Ila Mungu hamfichi mnafiki. Ndugai vuna ulichopanda, kupalilia na kuweka mbolea.

Umetomasa ukuu wa katiba, acha tuendelee kuchochea kuni.
 
Waziri wenu wa mchongo hawezi kufanya haya
20220104_174117.jpg
 

Attachments

  • 20220104_174117.jpg
    20220104_174117.jpg
    40.6 KB · Views: 19
Ndugai alichokifanya kuhusu kukopa hovyo ni sahihi kabisa, na kinachomuadhibu sio hicho bali historia yake ya matendo maovu dhidi ya wabunge wenzake akiwemo Lissu, viongozi mfano CAG, raia wakawaida kama Pascal na yule aliyemtwanga rungu kwenye kampeni na watu wa Kongwa kwa ujumla.

Watu wana chuki naye sio hoja yake hii ya juzi. Na akaharibu zaidi kuomba radhi kama vile yuko Kapernaum eti "nimekosa mimi, nimekosa sana"

Bladifulu!
 
Upinzani upo ndani ya wanadamu, kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa upinzani upo tu, haiwezekani kuua upinzani, na hata Ndugai nae akipotea, bado ataibuka mpinzani mwingine.

Muhimu hoja zinazoibuliwa ziwe zinajibiwa bila vijembe, vitisho, au kuangalia kwanza sura ya mtoa hoja, hili taifa lazima lijengwe na watanzania wenyewe.
 
Kama umeme wa 27000 wanasema ni ulaghai na haiwezekani , wakati kwa zaidi ya miaka mitano tumeunganishiwa kwa bei hiyo waziri wa michongo kisha feli zamani mnoo.
Miaka mitano wapi, hii haikuanza kuelekea kampeni za uchafuzi mkuu .
 
Maisha hayatabiriki. Maisha yana mambo mengi ya ajabu na yenye kutoa majibu. Maisha yanakwenda kasi sana. Job Yustino Ndugai, Mbunge wa Kongwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yamemfika. Yamemkuta na amefikishwa kwenye ukuta. 'Ameropoka'; akajitetea, akaomba radhi lakini hakukubaliwa. Rais 'kumjibu' kwa 'kumtaja' hadharani inamaanisha kuwa msamaha haukutolewa. Lazima jambo liwe.

Ndugai na historia ya kuukandamiza upinzani Bungeni. Tangu mwanzoni mwa utawala wa Mwendazake na baada ya Ndugai kupokea maelekezo ya kuwashughulikia wapinzani ndani ya Bunge na nje kuachwa Mwendazake mwenyewe, Ndugai alikuwa mahiri bila ubahili katika kusimamia maagizo kutoka juu katika kuwashughulikia wapinzani. Aliwafukuza kutoka Ukumbi wa Bunge Wabunge wa upinzani; aliwaburuza Kamati ya Maadili; aliwasimamisha kwa tambo wahusika na hata kuwatisha. Kilele cha yote ni pale alipomvua kikatili Ubunge Tundu Lissu.

Ndugai aliona ameyapatia. Aliona amefika. Alikuwa akicheka kwa mateso ya wenzake na kukasirika kwa mafanikio ya wapinzani Bungeni. Upinzani ukafika tamati Bungeni mwaka 2020 baada ya 'uchafuzi mkuu' wa mwaka huo. Upinzani ukafutwa Bungeni. Ndugai akafurahi sirini na hadharani. Akakiona kiti cha Spika rahisi na chepesi kuliko nyasi katika kukiongoza bila kuunguza. Akaendelea kuwakera wapinzani kwa kuwaapisha na kuwakumbatia Wabunge haramu 'wa CHADEMA' wakiongozwa na Halima Mdee.

Leo, karma imemrudi Ndugai. Haaminiki. Hatakiwi. Hapendwi. Hathaminiki. Haeleleweki. Hapokelewi simu zake wala kujibiwa jumbe zake. Hapewi ushirikiano na wale alioamini walikuwa wakimfurahia. Amekwama. Anahema. Anazama. Amekuwa mpinzani wao Bungeni. Amekuwa mpingaji wao chamani. Amekuwa mpinzani wao sirini na hadharani. Upinzani umefufuka Bungeni kupitia yeye. Hakika, karma is real!

Spika Ndugai asithubutu kuongoza kikao chochote cha Bunge. Akifanya hivyo, hataupenda mwisho wake utakaorushwa mubashara runingani.

What goes around, comes around!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mimi nilijuaga Chadema ndio maadui wa Ndugai.

Kwelo kikulacho kinguoni mwako.

Wamezamisha mtungi Panya atoke.
 
Upinzani upo ndani ya wanadamu, kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa upinzani upo tu, haiwezekani kuua upinzani, na hata Ndugai nae akipotea, bado ataibuka mpinzani mwingine.

Muhimu hoja zinazoibuliwa ziwe zinajibiwa bila vijembe, vitisho, au kuangalia kwanza sura ya mtoa hoja, hili taifa lazima lijengwe na watanzania wenyewe.
Kweli Ndugai wa kukataliwa na wanaccm kwa fadhila zote alizowafanyia??

Kweli bora ufadhili mbuzi utakunywa mchuzi
 
Maisha hayatabiriki. Maisha yana mambo mengi ya ajabu na yenye kutoa majibu. Maisha yanakwenda kasi sana. Job Yustino Ndugai, Mbunge wa Kongwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yamemfika. Yamemkuta na amefikishwa kwenye ukuta. 'Ameropoka'; akajitetea, akaomba radhi lakini hakukubaliwa. Rais 'kumjibu' kwa 'kumtaja' hadharani inamaanisha kuwa msamaha haukutolewa. Lazima jambo liwe.

Ndugai na historia ya kuukandamiza upinzani Bungeni. Tangu mwanzoni mwa utawala wa Mwendazake na baada ya Ndugai kupokea maelekezo ya kuwashughulikia wapinzani ndani ya Bunge na nje kuachwa Mwendazake mwenyewe, Ndugai alikuwa mahiri bila ubahili katika kusimamia maagizo kutoka juu katika kuwashughulikia wapinzani. Aliwafukuza kutoka Ukumbi wa Bunge Wabunge wa upinzani; aliwaburuza Kamati ya Maadili; aliwasimamisha kwa tambo wahusika na hata kuwatisha. Kilele cha yote ni pale alipomvua kikatili Ubunge Tundu Lissu.

Ndugai aliona ameyapatia. Aliona amefika. Alikuwa akicheka kwa mateso ya wenzake na kukasirika kwa mafanikio ya wapinzani Bungeni. Upinzani ukafika tamati Bungeni mwaka 2020 baada ya 'uchafuzi mkuu' wa mwaka huo. Upinzani ukafutwa Bungeni. Ndugai akafurahi sirini na hadharani. Akakiona kiti cha Spika rahisi na chepesi kuliko nyasi katika kukiongoza bila kuunguza. Akaendelea kuwakera wapinzani kwa kuwaapisha na kuwakumbatia Wabunge haramu 'wa CHADEMA' wakiongozwa na Halima Mdee.

Leo, karma imemrudi Ndugai. Haaminiki. Hatakiwi. Hapendwi. Hathaminiki. Haeleleweki. Hapokelewi simu zake wala kujibiwa jumbe zake. Hapewi ushirikiano na wale alioamini walikuwa wakimfurahia. Amekwama. Anahema. Anazama. Amekuwa mpinzani wao Bungeni. Amekuwa mpingaji wao chamani. Amekuwa mpinzani wao sirini na hadharani. Upinzani umefufuka Bungeni kupitia yeye. Hakika, karma is real!

Spika Ndugai asithubutu kuongoza kikao chochote cha Bunge. Akifanya hivyo, hataupenda mwisho wake utakaorushwa mubashara runingani.

What goes around, comes around!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mungu fundi,naamini sasa ndugai kajua kuwa Mungu yupo!!
 
Ndugai anayo msemo wake mmoja hivi akirefers wimbo ule ya kua ukishachafuka uwezi kushafishika Tena.
 
Back
Top Bottom