Recent content by kalambo one

  1. kalambo one

    Kutoka Diamond Jubliee Dsm: Mapokezi ya Magufuli baada ya kurejesha fomu NEC

    Mwislam mZima anaruhusu viroba!!!!! Aibu sana
  2. kalambo one

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Lowasa atashinda
  3. kalambo one

    Huyu Said Juma Nkumba CV yake kumbe iko hivi... Na makelele yote yale Bungeni!

    Na wewe vipi?? Kwahiyo unataka kusema kuwa Daktari bingwa wa upasuaji utendaji wake unaweza kuwa mdogo kuliko Daktari mwenye degree moja Au AMO?
  4. kalambo one

    Lowassa aliuza uwanja wa mashujaa wa Mnazi Mmoja kwa Bagdad Enterprises

    Uongo wa asubuhi asubuhi, utasutwa. Aliyeuza huo uwanja ni siti mwinyi
  5. kalambo one

    Pinda baada ya kuitwa makapi

    [QU OTE=benerax;13585799]Makapi sio kitu kilichoondoka Bali ni kitu kilichobaki,so waliochujwa na kubaki ccm ndio makapi MASHISHANGA
  6. kalambo one

    Pinda baada ya kuitwa makapi

    Kwa kisukumA kuna MASHISHANGA
  7. kalambo one

    Lowassa kutikisa arusha tar. 15

    Itakuwa mziki munene. Msalani jiandae kumpokea Rais
  8. kalambo one

    KASHFA: Serikali yawanyang'anya wamasai ardhi na kuwapa DUBAI ROYAL FAMILY

    Pale kuwaondoa ni rahisi sana , kwanza Askari wanaowalinda ni wa TZ, Sasa ondoa Askari then masai vamia na mifugo yako!!!! Peleka panya road wa kimasai kama elfu tano kuvamia, wataachia tu
  9. kalambo one

    Dr. Magufuli, tafadhali badili hotuba

    Boiler is an instrument used to boil substance.
  10. kalambo one

    Dr. Magufuli, tafadhali badili hotuba

    Mzee haya mambo umeanza Lini? Tangu Lini umekuwa ukawa? Ni Lini ulianza kuihama CCM?
  11. kalambo one

    Wito Mbaya Kwa Dr Slaa Kigoma

    Hiyo ya zamani sana mkuu
  12. kalambo one

    Muhimbili wamethubutu na wameweza

    Umetumwa Au umerogwa na Kama siyo basi upeo wako wa elimu juu ya heart surgery ni mdogo Au hujui mbaya zaidi huna uwezo wa kufanya cardiovascular surgical analysis ndo maana unaongea pumba zaidi ktk muktadha wa jambo usilolielewa. Umeendika habari Kama za chereko chereko.
  13. kalambo one

    Wasomi wampigia Saluti MAGUFULI!

    Kilichobadilika ni chupa lakin mvinyo ni uleule
  14. kalambo one

    Naamini kabisa, Tanzania kichwa cha mwendawazimu

    Maximo arudi tu
  15. kalambo one

    CCM Wakiteuwa mtu asiyekuwa maarufu wanaikosa Ikulu

    Lowassa ni bora , maarufu na mchapa kazi but ni fisadi papa
Back
Top Bottom