Huyu Said Juma Nkumba CV yake kumbe iko hivi... Na makelele yote yale Bungeni!

ha ha ha, hawa mabwana wa ccm wababaishaji sana, yaani ukifuatilia elimu zao utachoka mwenyewe kwa madudu. hawa ndio wanasababisha tanzania yetu iendelee kubaki nyuma kimaendeleo, viongozi kama huyu hawawezi kuwa na fikra za kimaendeleo
 
kama huyu mbunge anatimiza majukumu yake vizuri hamna tatizo lakini pia ni uongo kuamini kuwa elimu nzuri haina msaada katika ufanisi wa shughuli za kibunge

Kwakweli elimu kwa maana ya madarasa saa nyingine huwa haina output, kwani wengine hupita vidato na vyuo kibao lakini utendaji zero, wengine vidato kidogo tu utendaji kibao. Hivyo bungeni tunampima kama anawatetea wananchi wake, mbunifu, analiendeleza jimbo na kutetea taifa kama anafanya hayo cv yake inatosha kabisa.
 
GENERAL
Salutation
Honourable
Member picture
1206.jpg

First Name:
Said
Middle Name:
Juma
Last Name:
Nkumba
Member Type:
Constituency Member
Constituent:
Sikonge
Political Party:
CCM
Office Location:
P.O. Box 9, Sikonge - Tabora
Office Phone:
+255 787 770707
Ext.:
Office Fax:
-
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
Moshi Technical Secondary School
O-Level Education
1982
1985
SECONDARY
Isike Primary School
Primary Education
1973
1981
PRIMARY
Bunda Teachers' Training College
Certificate in Teaching
1986
1988
CERTIFICATE
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type
Certification No.
Issued
Expires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name
Position
From Date
To Date
Secretary General Regional Admin. & Local Govt.
Division Secretary
2000
2000
The Parliament of Tanzania
Member - Sikonge Constituency
2000
2015
Ministry of Education
Teacher Grd. III A
1988
2000
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location
Position
From
To
CCM-Chama Cha Mapinduzi
Member of Parliament
2000
Todate
CCM-Chama Cha Mapinduzi
Member of National Executive Committee
1997
Todate
CCM-Chama Cha Mapinduzi
Member of National Executive Council
1992
1997
PUBLICATIONS
Description
Published Date
No items on list
SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description
Years Experience
Acquired Through
Skill Level
No items on list

RECOGNITIONS
Recognition Type
Recognition Date
Reason
Action Taken
Issued by
No items on list


Hivi Sikonge Mbunge wenu ndio mmeona CV yake inatosha hapa?

Sina nia mbaya ila nilijua ana Masters degree.....

Nadhani ni makosa kufikiria kuwa Masters ndiyo inaweza kuwa qualification ya Ubunge. Kuna wabunge wengi sana wamefanya kazi nzuri sana wakiwa na diploma tu. Huko nyuma tulikuwa na mzee wa Kilalacha, Mzee wa Mabomu na wengine wengi na walikuwa na kazi nzuri sana kwenye ubunge. Jambo la msingi ni kuwa je, huyo mtu anafanya kazi yake vema? Kwa sasa huyu bwana ameonyesha kuwa anaweza sana licha ya hiyo elimu yake kuwa ya chini.
 
elimu..hakuna mjadala, ni ufunguo wa maisha..! lkn limekuwa kosa na ujinga mkubwa sana ktk zama hizi kuamini kuwa uongozi mzuri na bora ni elimu (tena ya kupata vyetu kutoka vyuo vikuu)...alipoondolewa madarakani fashist idi amin mwaka 1979 (nikiwa darasa la pili, mgulani sm)aliingizwa profesa yussuf lule ( marehemu?)...nchi ilimshinda!....elimu ni sehemu mojaa wapo ya vinavyohitajika kumfanya kiongozi mzuri...ujuzi,uzoefu,busara, na uchamungu ndiyo msingi wa kiongozi mzuri....

Kumbe Idd Amin alikuwa bora! Sa kuna faida gani ya kusoma sasa? Kumbe hata Said Nkumba yawezekana in future akaja kuwa Presda wetu! Its really amazing!
 
Hiyo ndiyo demokrasia, mwaka 2000 alimpiga chini Jaji Mfalila katika kura za maoni. Ni mzuri sana kwa kuimba kwaya, namkumbuka JKT Msange alikuwa anatuburudisha kila usiku kombania B. Pia alikuwa hodari kukaanga bisi
Hiyo ilikuwa kubebana tu kama ilivyo kawa ccm, baba yake alikuwa m/kiti ccm wilaya, mzee Nkumba.
Jamaa alikuwa kilaza kweli pale Moshi Tech, kazi yake kubwa ilikuwa kuimbisha mchaka mchaka hadi Mpande akawa anamfagilia.
'Usiku wa jana sikulala yoo!' huo ni wimbo ambao kwa siku aliuimba mara hamsini kidogo.
 
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1206.jpg
First Name:Said
Middle Name:Juma
Last Name:Nkumba
Member Type:Constituency Member
Constituent:Sikonge
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 9, Sikonge - Tabora
Office Phone:+255 787 770707
Ext.:
Office Fax:-
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
Moshi Technical Secondary SchoolO-Level Education19821985SECONDARY
Isike Primary SchoolPrimary Education19731981PRIMARY
Bunda Teachers' Training CollegeCertificate in Teaching19861988CERTIFICATE
CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No.IssuedExpires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company NamePositionFrom DateTo Date
Secretary General Regional Admin. & Local Govt.Division Secretary20002000
The Parliament of TanzaniaMember - Sikonge Constituency20002015
Ministry of EducationTeacher Grd. III A19882000
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
CCM-Chama Cha MapinduziMember of Parliament2000Todate
CCM-Chama Cha MapinduziMember of National Executive Committee1997Todate
CCM-Chama Cha MapinduziMember of National Executive Council19921997
PUBLICATIONS
DescriptionPublished Date
No items on list
SPECIAL SKILLS
Skill Name or DescriptionYears ExperienceAcquired ThroughSkill Level
No items on list

RECOGNITIONS
Recognition TypeRecognition DateReasonAction TakenIssued by
No items on list


Hivi Sikonge Mbunge wenu ndio mmeona CV yake inatosha hapa?

Sina nia mbaya ila nilijua ana Masters degree.....

Leo kachukuwa kadi ya CHADEMA
 
Chadema ni dumping place ya bidhaa zilizotoka CCM.
Mwaka huu ccm wasomi kibao wamejaa kuja kuomba ubunge MZEE kaona atimke hahahahahaha..

Kazi ipo kwa chadema
 
Inaelekea kuna makosa mengi kwenye hizi CV za waheshimiwa wetu. Inawezekanaje huyu mbunge kusoma shule ya msingi kwa miaka TISA?

Wakati ule (sijui kwa sasa) ilikuwa ruksa kurudia darasa la saba.
 
Sasa hivi ndiyo mna discuss elimu yake..
Alianzisha tz kwanza ilipoanzishwa ukawa..
Alikuwa anaruhusiwa yeye na kibajaji kuongea ili kuichana ukawa...
Ila lazima chadema/ukawa wamuangalie sana huyu jamaa..
I don't trust him
 
Sasa kuna faida gani ya kusoma sasa? Kumbe hata Said Nkumba yawezekana in future akaja kuwa Presda wetu! Its really amazing!
 
elimu ina uhusiano mkubwa na kujenga misingi ya maendeleo. kwa mfano, kwa nini sheria zetu zimekuwa mbovu kiasi kwamba hazitusaidii kuupinga umaskini wa pato la taifa na binafsi? rasilimali tunazo lakini bado HOHE HAHE, wapi tumeanguka?

moja ya sababu ninazo amini kuwa zimetufikisha mahali tulipo, ni kuwa na viongozi ambao elimu hawana, hivyo linapokuja swala la kuchanganua faida na hasira za mambo fulani, wao ni kufuata mkumbo. Ndio wabunge wengi wa CCM, kwani hawana uwezo wa kusoma sheria, na hivyo siku zote wako upande wa serikali ambao kimsingi wamekosea kabisa, lakini wabunge hao wanapitisha sheria hizo ambazo zikianza kutenda kazi ni kilio kitupu

Mnyika, Lissu, majimbo yao yanaweza yasiwe na maendeleo kwa maana ya ujenzi wa barabara, hospital na shule kutokana na fitina za serikali kuu ambao ndio wanaogawa pesa, lakini mchango wao katika kujenga mazingira ya kisheria na kiutendaji ni mkubwa mno.

ukiwa CCM na huna elimu, wanaweza kukuhakikishia bajeti ya kutosha na hivyo kutengeneza barabara za kutosha, lakini kwa habari ya mchango wa kitaifa huna msaada wowote.

na ikumbukwe maendeleo si majengo na barabara, bali ni watu kuishi vizuri kabisa kupitia sera na sheria zake makini.


Na wewe vipi??

Kwahiyo unataka kusema kuwa Daktari bingwa wa upasuaji utendaji wake unaweza kuwa mdogo kuliko Daktari mwenye degree moja Au AMO?
 
1,2,3 kada wa CDM wakaanza kumeza tapishi zao kwa kumsifia na kumuita kamanda.huyu Lowassa anadhihirisha ujuha wa vijana wetu wa CDM.
 
Chadema ni dumping place ya bidhaa zilizotoka CCM.
Mwaka huu ccm wasomi kibao wamejaa kuja kuomba ubunge MZEE kaona atimke hahahahahaha..

Kazi ipo kwa chadema

mbona bunge lililopita limejaa wasomi wengi hadi maprofessor lakini wengi wao ni wapigaji ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom