Recent content by kakubaSJ

  1. K

    Shirika la Wanawake Afrika lamshukia Magufuli kuhusu Mimba mashuleni

    Dah! Hivi wanamtaka nani aombe msamaha?? JPM huyu nnayemfaham au??
  2. K

    Lissu: 95% ya madini yetu yanaibiwa hapa nchini, Magufuli amekomaa na 5% sababu tu yanatoka nje

    Hivi inawezekanaje taarifa ya wataalam wa madini iitwe takataka na MTU aliesoma sheria? Pia anasema kwamba utajiri huo uliotajwa haupo katika mchanga huo ikiwa yeye sio mtaalam wa madini ila tu kapitia tafiti nyingi zilizofanywa huko nyuma Je,anauhakika gani kuwa hizo taarifa hazikuupotosha...
  3. K

    Jiinge na mageuzi

    WhatsApp group kwa ajiri ya wanaharakati wa mkoa wa Kagera KATWE (Kagera Twemanye)
  4. K

    Watanzania acheni unafiki, ina maana kifo cha Ivan kimewauma kuliko Dogo Mfaume?

    Utanzania uliletwa na wakoloni Afrika ni moja
  5. K

    Hii ndo Tanzania

    Tatizo ni kutoelewa lengo la mada na mwisho kujichafua kwa maneno yasio ya msingi rudi kwenye mada.
  6. K

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Dah! Ni lini katangaza yeye ni nabii au ndo maana ya neno nabii haieleweki
  7. K

    Hii ndo Tanzania

    Madhara ya vitabu vya Ndalichako yaani MTU anauliza kati ya A,B,C,na D huku majibu yana namba 1,2,3 na 4
  8. K

    Mo Dewij wacha kulalama, anzisha timu yako

    Ifahamike Mo no tajiri wa kwanza Tanzania sasa mambo ya kulalama kisa Simba ni sawa na kutaka kumuoa msichana wakati wazee wake hawakuhitaji ila tu inafarijika kwa kuona ndugu zake na mashoga zake wanakusapoti .Ombi langu kwake aanzishe timu yake.
  9. K

    Uchambuzi

    Naombeni mnisaidie uhusiano uliopo kati ya Elimu,afya,Maji safi na maendeleo ya mtanzania hasa yule anaeishi kijijini
  10. K

    Rais Magufuli, CDF mpelekeni Tundu Lissu mahakama ya kijeshi - court Marshall

    Utukufu (kwa Kiebrania הוד, hod, na כבד,kabod, "uzito"; kwa Kigiriki δόξα, doxa, "tathmini"; kwa Kiingereza glory kutokaKilatini gloria, "umaarufu") ni hasa sifa ya Mungu anapojitokeza kwa viumbe.
  11. K

    Benedicto Mutungirehi wa CHADEMA ajiunga na CCM

    Aliye wahi kuwa Mbunge wa Jimbo la uchaguzi Kyerwa mkoani Kagera kupitia chama cha Tanzania Labor Party na mgombea wa ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA Ndugu Benedict Mutungirehi amehama chama rasmi na kujiunga na chama cha mapinduzi.
  12. K

    Msikilize JB akizungumzia Mgomo wao

    Huyo naye nunda hivi unawezaje kugoma kufanya mtihani kisa tu jamaa anaekushinda huwa asomi sana kama Ww? Asee hii bado Bongo movie
Back
Top Bottom