Wewe faiza foxy wahenga walisema kumuwashia taa kipofu ni kumaliza mafuta .nani asie jua kazi yako mkuu jitahidi kuongeza juhudi uwe juu kama kofia daily usiwe down kama pedi natumia lugha kali tafsiri unavyoweza maana nimejaribu kukueleza toka mwanzo kuwa mimi sijaja hapa kuleta malumbano...
Kuna tofauti sana ya kuichambua siasa kwa upeo wakila mtu kwa akili yake na kufanya ushabiki waki siasa ukosahihi kwa mchango wako lakini naona unaleta kadi za harusini msibani huja kosea ila siwakati wake na siwezi kujibu hoja yako kwa kuwa iko nje ya mada. nadhani nimeleweka.
Shabiki wa simba na yanga hawawezi kuchambua soka vizuri hata wakichambu wata chambua kwa macho kengeza kwa sababu ya ushabiki magufuli kama yeye hawezi kupambana na mafisadi wote wa ccm na kupa mfano mmoja kuna mwalimu mkuu moja shule yake ilikuwa inafanya vizuri kila mwaka waka amua kumhamisha...
Namfananisha kiongozi huyu kama kijiko cha sukari kwenye pipa la maji nikiwa na maana kwamba Magufuli kama Magufuli ana uwezo ambao hauwezi kufanikisha kutupeleka watanzania mahali tunapotaka isipokuwa angekuwa na watu ambao uwezo wao si wa kutetereka wala watanzania hatuna mashaka nao...
Habari wanajamvi na tumaini mko poa jamani naomba msaada kurudisha whatsapp yangu maana nikifungua ina niandikia hivi This version of whatsApp became obsolete on may 27,2015 tap "Dowload" to get the latest version
Your device's date (ina andika tarehe ya kila siku) if this is incorrect...
songs of Lawino and O'coll: Kila MTU ana RAIS wake mfukoni na hana uhakika kama anaweza kukimbia mbio hizi za urais na akawa mshindi, hivo kila MTU ana mshawishi mwenzi atupe RAIS wake aendelee kushabikia RAIS wa mwenzake. na wengi wemetupa marais wao ambao walikuwa wanawaamini sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.