Timu ya UKAWA usipime!

Timu ya UKAWA usipime!

Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wamekamilisha rasmi zoezi zima la kuwapata wagombea wake katika ngazi za juu za serikali huku mgawanyo mpya wa majimbo ukiwarahisishia kuhakikisha vyema mchakato wa kugawana majimbo uliowekwa kiporo, nimethibitisha.

Kesho UKAWA wanatarajiwa rasmi kuwatangaza watu wake watakaoongoza serikali katika ngazi za juu ambao ni rais, makamu wa rais, rais wa SMZ na waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Pia wanatarajiwa kutangaza rasmi idadi ya wizara walizounda na baadhi ya watu mashuhuri watakaoongoza wizara hizo.

Pia kesho kombora zito la ufisadi wa Magufuli litawekwa rasmi hadharani na kumsambaratisha mgombea huyo wa CCM katika hatua za awali.
Kaa! Uncle Sam, sasa wanaundaje serikali wakati hata uchaguzi Mkuu haujafanyika, na kwani mawaziri hawatatokana na wabunge watakaokuwa wameshinda uchaguzi/ kuteuliwa na Rais!? Mmmh
 
Ukawa wanacheza siasa tu. ina maana ufisadi wa Magufuli kaufanya baada ya kuteuliwa nafasi ya Urais? Siku zote walikuwa wapi?
 
Pamoja sana Ukawa!! Huyo Magufuli nibonge la gamba kwanza atwambie kwanini aliuza nyumba za serikali nakuisababishia nchi hasara, watumishi mbali mbali wakiwemo mawaziri na majaji, mpakaleo wanakaa mahoterini nakulipiwa dola zaidi ya2000 kwa mwezi kwakukosa nyumba za serikali. Huo niufisadi wahatari aliofanya huyu Magufuli, sema watanzania wengi niwasahaulifu, hawana record zawatu hatari kama hawa kina Magufuli. Huyu nimwizi tu kama wenzake ktk CCM hakuna msafi.

Watanzania tuna shida ya ubongo.
Kosa kubwa kuuza nyumba karibia zote za serikali huku huna plan B.
Wamewauzia watumishi wa serikali kwasababu hawakuwa na plan ya kuwawezesha wtumishi masikini hawa kuwa na nyumba... Kwa wale wa chini sio wle wa masaki.

Sasa ni hasara juu ya hasara. Magufuli mwenyewe sasa yupo entitled kuwa na nyumba ya serikali japo aliuziwa aliyokuwa anaishi. Bullshitt**
 
GOD BLESS UKAWA, GOD BLESS TANZANIA, GOD BLESS AFRICA

GOD PROTECT ALL UKAWA LEADERS, MOSTLY OUR BELOVED PRESIDENTIAL CANDIDATE WHOM WE'LL SOON BE KNOW TOMORROW. (Hopefully not Lowasa as allegedly reported)

IT'S NEW HOPE, A NEW DAY THAT THE LORD HAS MADE 14-7-15. ENDING THE OVER 50 YEARS OF ENSLAVEMENT AND OPPRESSION BY FELLOW BLACKMEN, MAKING AN END TO THI CURSE.

WE'LL STAND STILL AND WITNESS THE GLORY, FOR THE LORD ALMIGHTY WILL FIGHT FOR US.
 
Kaa! Uncle Sam, sasa wanaundaje serikali wakati hata uchaguzi Mkuu haujafanyika, na kwani mawaziri hawatatokana na wabunge watakaokuwa wameshinda uchaguzi/ kuteuliwa na Rais!? Mmmh
Kumbuka Zitto Kabwe aliwahi kuwaambia kuwa UKAWA ni umoja wa Kugawana Madaraka. Hawana jipya
 
Ngoja niwai kulala kesho ifike haraka.
 
Ukawa wanacheza siasa tu. ina maana ufisadi wa Magufuli kaufanya baada ya kuteuliwa nafasi ya Urais? Siku zote walikuwa wapi?

CAG alitoa report baada ya Magufuli kuwa mgombea wa CCM?

CAG tena Assad mwenyewe kasema ujenzi ni madudu tupu... Leo mnashangilia kama vile mmekojolewa kwa huko mtoapo kinyesi.

Whats wrong with you CCM guys...
Kwenye picha ndo waume zako hao au?? Sasa badili, weka ya Magu.filu
 
Jamani UKAWA, tunawapenda lakini hata MAGUFULI pia tunaupenda utendaji wake sana, of course atakuwa anayo makosa kama binadamu.....kwani tunajua kuwa YEYE sio malaika jamani!

Embu tafadhalini, kwa manufaa ya nchi.....hilo Kombora liwekeni kiporo....leteni CD ya Arusha kwanza, ila mshkaji anafaa kikweli tumpeni nafasi! Mwacheni aifanye tanzania inyooke kama Rwanda jamani!

Wananchi hatuhitaji tuongozwe na MALAIKA katika serikali zetu, tunahitaji MZALENDO na MCHAPAKAZI mambo ambayo tunaamini MAGUFULI anayo!

Well said, kwa wakati tulionao Tanzania tunahitaji mnyapara kama Magufuli ili watu tufanyekazi tujenge nchi. Tumechoka kuchekwa na Wakenya
 
Watanzania tuna shida ya ubongo.
Kosa kubwa kuuza nyumba karibia zote za serikali huku huna plan B.
Wamewauzia watumishi wa serikali kwasababu hawakuwa na plan ya kuwawezesha wtumishi masikini hawa kuwa na nyumba... Kwa wale wa chini sio wle wa masaki.

Sasa ni hasara juu ya hasara. Magufuli mwenyewe sasa yupo entitled kuwa na nyumba ya serikali japo aliuziwa aliyokuwa anaishi. Bullshitt**

Umeona sasa mkuu? Watanzania bado sana kujitambua, wana hope nahuyu mwizi eti atachapa kazi. Wameshasahau yote alivouza nyumba nayeye kujigawia nyumba kadhaa, leo wanadai wamepata mgombea safi. Sometime mi huwa najuta kuzaliwa nchi hii yawajinga siosiri.
 
Back
Top Bottom