Hata huyo Mungu unayemhubiri naona sio huyu tunayemuamin,mm nafikir ungeomba Mungu akupe nguvu tuu umtunze huyo mtoto kwa upendo wa kweli kumbe unakimbia,upendo wa Mungu hapo uko wap kama hata hujui kumsamehe aliyekukosea
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 31,nina mpenzi wangu tumedumu nae kwenye mahusiano takribani miaka miaka 3,sasa umefika wakati mimi na yeye tumeona ni wakati muafaka wa kuishi pamoja,tumeshatambulishana kwa wazazi wote .
Bahati mbaya kuna kitu nilimficha kwa sababu kila nilipokuwaga najaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.