Jipatie mayai mazuri ya chotara, makubwa kwa shilingi 15,000 tu kwa trei. Yana kiini cha njano na ni mazuri sana. Napatikana Dodoma, karibu sana unayehitaji.
Habari ya wakati huu!
Kama kichwa kinavyojieleza, wanahitajika vijana wawili mmoja kwa ajili ya kuuza barafu na mwingine juisi (kwa kutembeza).
Sifa kuu ni uchapakazi na uaminifu.
Jinsia yoyote ila wa kike watapewa kipaumbele zaidi.
Uwe unaishi Mwanza, kazi iko Mkolani, ni ya kuja na...
Nakusalimu ndugu usomaye makala hii. Makala hii haikusudii kumlazimisha mtu akubaliane na mtazamo ulioandikwa ndani yake, kila msomaji ana uhuru wa kukubali au kukataa chochote kilichoandikwa katika makala hii, au hata makala nzima. Makala hii ni ndefu ila ni vema ukijitahidi kuisoma yote...
Habari zenu wadau. Natoa huduma ya kutafsiri vitabu, majarida na vingine vya aina hizo, kutoka lugha ya kingereza kwenda kiswahili. Kwa wenye kazi za aina hiyo karibu tuzungumze. Gharama ni nafuu na utalipa baada ya kazi yako kukamilika. Karibuni sana!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wadau. Natoa huduma ya kutafsiri vitabu, majarida na vingine vya aina hizo, kutoka lugha ya kingereza kwenda kiswahili. Kwa wenye kazi za aina hiyo karibu tuzungumze. Gharama ni nafuu na utalipa baada ya kazi yako kukamilika. Karibuni sana!!!
Habari zenu waungwana.Kwa wale walioko Mwanza wanaohitaji kupata huduma ya video recording kwenye matukio yao mbalimbali kama harusi, sendoff, ubarikio n.k na video recording za kwaya tuwasiliane kwa kazi zenye ubora wa hali ya juu.0759206320. Karibuni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.