Hawa watu wanatuchezea akili,kuna watu wasomi wazuri wameaply lakini cha ajabu wameachwa anakuja kuchaguliwa ambaye hana sifa kabisa,hivi tamisemi wanasubiri hata hili aingilie mh.rais magufuli wakati udhaifu mmeuona,hawa jamaa bila michongo hupati ajira,watu wanawatu wao hata matangazo ya ajira...
Kumbe wewe unaongelea maisha ya watu wa dar,sisi wa vijijini tunatumia masaa 2 kuifikia benki,sasa hayo masaa 2 nauli kiasi gani?fikiria kabla ya kuposti ,Tanzania ni kubwa mzee,siyo kwamba sisi tunapebda tukatwe pesa nyingi ni matatizo tj
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.