Hahaahaa kitaaa kulikuwa na ule mchezo wa matani yaani hatari sana. Unaambiwa ulikunywa suda ukapanda chupa mara uliambiwa useme kirefu cha BP ukasema barkenja na paulo
Wanapenda anasa sana na hawaweki akiba. Pia hawaoni aibu kuombaomba. Hata hivyo vyama vyao vya wasanii kubwa wanalofanya ni kutongozana na kula michango na kuratibu mazishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.