Recent content by kajeje

  1. K

    CAG: Mkandarasi alichukua tenda kwa 104b akaiuza kwa 40b akapiga cha juu 64b

    Hakuna mwenye afadhali kumtetea kiongozi yeyote wa ccm aliye hai au aliye kufa ni sawa na kupiga kofi upepo huo ubadhirifu imefanyika wakati wa mwendazake na kila aliyepita anayake na ajae pia anayake kwaiyo kumbukumbu nyingi hazisaidii zaidi ya kuwatoa ccm madarakani basi.
  2. K

    Mchungaji Msigwa: Mtu pekee anayefaa kuwa Spika wa bunge la JMT kwa sasa ni mzee Andrew Chenge!

    Haahahhahahah ...... Achaga upumbavu basi we jamaa
  3. K

    Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

    Hakuna game hapo watanzania asilimia 90% hawakubaliani na ndugai na kimbuka utawala was nchi hii mpia unamvumo wa nguvu za jeshi kichinichi na mama kasha kidhi matakwa ya walimzi wetu wa mipaka pia kwaiyo huo mTego wakategee panya
  4. K

    Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

    Ni kweli angempigia kimya. Ila shida ni kuwa maccm ni washenzi walikuwa wanamdharau huyu mamá Acha wavuruguane tuu bhana
  5. K

    Huko Afghanistan Taliban siku si nyingi watatawala Afghan yote, na kwa mara nyingine Marekani imefeli tena

    kaka wasome hao wapashton uwaelewe kama unahisi ilikuwa rahisi hivyo muulize mrusi kabla ya mmarekani hao jamaa hawachoki bali utachoka wewe na kama ingekuwa rahisi marekani angeifanya hiyo ni alaska ya pili
  6. K

    Huko Afghanistan Taliban siku si nyingi watatawala Afghan yote, na kwa mara nyingine Marekani imefeli tena

    hahahah.......................... wasome vizuri hao wafganistani uwaelewe. hao ni jamii ya watu wamaitwa wapashton hao watu ni jamii ambayo mpaka marekani anavamia hawakuwa na ambukizi hata moja la ukimwi kwasababu waliridhia kutawaliwa kiislamu hawa watu hawana technologia ya kumshinda...
  7. K

    Msaada wa mpangilio wa lishe kwa asiyependa kula

    Wandugu nna rafiki yangu kaniomba msaada wa kumuandalia menyu ya wiki nzima kwasababu hapendi kula. Naomba msaada tafadhali
  8. K

    Je, Bagamoyo Port itakuja kuwa White Elephant Port?

    Mwamba umemaliza Mwamba ummemaliza
  9. K

    Sheikh Farid: Tunashukuru tumeachiwa ni mwanzo mwema wa Rais Mwinyi na Samia

    HAHAHHAHAHA....... umesema nani ashughulikiwe tena...
  10. K

    Netanyahu aondolewa Uwaziri Mkuu

    ni kweli kabisa kwasababu huyo bennet alipata kuwa hata waziri wa linzi wa netanyahu kama sijakosea. ila nakumbuka katika mapigano yaliyopita nliwa kusema humu ndani hizo njia zake za kutumia mgogoro wa isarael na hamasi zimesha kwisha na nafkir i was correctly in my speculation
Back
Top Bottom