Mtoa mada unakaa katika mikoa husika mbona maendeleo untosema ni ndoto Arusha Jiji Kuna sadifu maisha magumu tena kwa wazawa Bora ata hiyo mikoa unayosema ya kawaida wanapata huduma za chakula,malazi, nk kuliko Hawa wazee wa ngogwe aisee
Wanawake zetu wanazingua yeye Anajua unataka kupanda mlimani ndo anaanza kukuambia sijasuka , kikoba, ada ,nk iyo nguvu inakata unawaza ela ila ugenini aaa hauna jipya utasikia zaidi ya kuimbiwa nyimbo na maneno ya kukufanya upande mlima vyema
Huyu mwanamke kama atakuwa so mchaga nimekaa pale , kama ni mchaga bro wala usihangaike chukua tu mwingine coz wadada wengi wa kichaga wakishafika kwenye 35+ aisee hukata hisia za kimapenzi hizo kesi zipo nyingi sana tu na kama Huwajui unaweza kuhisi wanatoka nje ya ndoa kumbe Wala hata nadhani...
Nadhani hapo wale mnaojifanya kulea watoto kizungu mnakitu Cha kujifunza hapo Kwa hawa jamaa wajanja wanatupa maigizo huku wakituficha uhalisia wa maisha yao . Hakuna asiye na kabila lake na ukijua Hilo utakumbuka kuwa yapo mengi Leo unayopata kama faida ya nasaha na malezi ya utamaduni wenu...
Mm nashangaa sana mzazi anapambana na kupeleka mtoto akasome degree analipa juu ya 12milion kama ada na cost nyinginezo za maisha harafu badae anashidwa kumwezesha ajiajiri, wazazi niwashauri na vijana ukimaliza certificate au diploma inatosha sana tafta ela kama unataka iyo degree utaipata...
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ila maisha magumu jamani huku ikiwa imekatwa asilimia za kutosha huku walowapatia elimu wanavuta vitambi na kuamua lini wawalipe[emoji1430][emoji1430]
[emoji38][emoji38][emoji38] nyie danganyeni watu wakomae na izo GPA za 5 harafu tutakutana kiataani kinachofanya kazi so ufauru Wala usidanganywe na mtu soma Kwa step huku ukiandaa future Yako baada ya chuo .
Huu ujinga sana wadau acha tu , Kuna Kampuni X walikuja wahitimu tukawa tunafanya nao job kumbe wanajitole aisee si zikatoka chance wakajua wanapewa hapo washapiga miez kama 8 ivi hafu ujinga pale wanakupa laki tu , huwezi amini wakashangaa wameajiriwa wageni aisee Kuna mmoja alikuwa kama...
Huyu Hana sera wanaosifia hoja mfu kama hizi ni kama mwanaume anayejawa tamaa baada ya kumwona Binti mrembo bila ya kujua tabia yake na kesho humuua. Hivi Tanzania na Marekani wapi wanautambuzi wa haraka juu ya mambo ya mikataba? Na kama shida ni vifaa vya kupakia na kupakua mizigo wanashidwa...
Kama kweri kasema ivo hasitahili kubaki katika nafasi yake kwenye chama apishe tu , haya kama hajui asome vizuri mkataba atagundua hajauza Dar kauza nchi nzima . Lakini pia usalama wetu utakuwa matatani sijui jeshi halishauli serikali kwenye Hili
Unajua kabanga nickel ilianza kuchimba Mwaka Gani mkuu ? Magufuri kasaidia sana suala la Kabanga Nickel maana walicheza sana na huo mgodi awamu zilizomtangulia mpka basi watu wanachimba na kukimbia wakidai hawapati kitu
Tatizo la wabongo hasa wabunge wetu na watawala wanawaza Leo na siyo kesho na jingine izi elimu za kupeana tu ( PhD ) zifutwe tu kunawatu mpaka aibu . Mimi so mwanasheria ila wako wanasheria wengi wenye uwezo wa kusaidia serikali hii . Mimi nimepita Kwa Net tu nikagundua Hawa jamaa washakataliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.