nijuze juu ya huduma za contnental,Ninasikia mara picha zinaganda,mara custom care hawapokei simu,mara channel za vifurushi vya bei zaidi huwezi kupata.Nakimaind king'amuzi hicho kwa jinsi wanavyokitangaza japo nikiipigia namba inayotangazwa haipokelewi,mara nyingine haipatikani na haijibu sms.
Tunahitaji ufalme wa Mungu uje kwetu.Huyo mama kwenda kwake kanisani tunatarajia kuuakisi utukufu wa Mungu kuanzia kwenye familia,mtaani,kanisani na popote ili jina la Mungu wake lisitukanwe bali litukuzwe.
Msaidie mkeo,mwelimishe,muombee atapata macho ya rohoni kwani hayuko mbali na njia.Wapo...
Mpango huo uliandaliwa mapema,sheria ilitungwa wabunge wote na wawakilishi wawe kwenye bunge idadi yao anaijua na msimamo wa ccm uko wazi ni serikali 2.Pia uteuzi wake miongoni mwa wajumbe 200 makada wa ccm kibao.
Sheria ya uundwaji wa katiba na uteuzi wa mkuu wa kaya ubainisha malengo yaliyofichika.Akasema "Utafiti wangu unaonesha ili serikali 2 ipite inahitaji wajumbe 16 kuwaunga mkono,ambapo serikali 3 kupita inahitaji wajumbe 80 nje ya kundi hilo " Mungu ibariki Afrika,Mungu ibariki Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.