Recent content by Kaighanja

  1. K

    Salehe Salmini Msemo: Tapeli wa Ardhi jijini Dar es Salaam

    Matapeli wa ardhi wanazidi kuongezeka na baadhi yao wamekua ni watendaji wa serikali au wanashirikiana na watendaji hao wa serikali. Kuna jamaa anaitwa Salehe Salmini Msemo alikua ni afisa wa serikali wa moja za ofisi za manispaa hapa Dar es salaam, kwa sasa ameacha kazi. Jamaa huyu ni tapeli...
  2. K

    Mh. Zitto tunakuomba ugombee jimbo la Ubungo

    Mnyika ni mmoja wa wabunge ambao wamekua wakifanya mikutano na wananchi na kutoa mrejesho wa nini kinaendelea bungeni na kusikiliza kero za wananchi.Ni nani aliye kipofu na kiziwi kiasi hiki,hata hakuona na kusikia Mnyika alivyokua anamuhenyesha Pro Maghembe. Hatuwezi kuona ubora na uzuri wa...
  3. K

    Prof. Safari, Maandamano yapo palepale

    Mnawatisha wananchi kwa mbwa na mitutu ya bunduki kwa kudai haki zao za msingi. Hebu waacheni waandamane kama wanavyotaka kama mnajiamini mnaongoza kwa haki nchi hii.Mnaogopa nini.Polisi tumieni tu weledi wenu kuhakikisha waandamaji hawadhuru watu au Mali zao.Halafu tuone km kuna hata unywele wa...
  4. K

    TPDC wamenifyeka, ndoto zangu za Mtwara kwisha

    Sijaona matokeo,unaweza kunisaidia kuweka link ya waliobahatika hapa
  5. K

    Zitto achoka kuvumilia

    Baada tu ya kugundua wameshachafua jiji la Arusha amekimbilia Dodoma na kuongea upupuuu usiokua na kichwa wala miguu.Nchi ikiendelea kuongozwa na watu kama hawa ambao hawatu utu wala hisia na maumivu ya wengine Tanzania haitakaa iwe na utulivu tena. Inaumiza sana na watanzania wanaonyesha...
  6. K

    Bomu na risasi za moto zilizotumika kwenye tukio la Arusha ni bidhaa za China tena ni za mwaka huu

    Poleni wote mliopatwa na mcba huko Arusha mungu awape subra inshallah.
  7. K

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    Hongera mh Lema and Nassari!!!!Mungu aendelee kuwapa hekima na busara katika kuwatettea na kuwaamsha wananchi waliolala wakati wa mchana
  8. K

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    Siasa ni mchezo mchafu japo maisha yetu yapo ndani ya siasa kila siku.Nafkiri ni kweli serikali yetu imekua dhaifu katika kushughulikia mambo kwa wakati,inasubiri jambo litokee ndio ijishughulishe na matukio,ni wakati wa kuamka ianze kuzui matukio instead ya kuyasubiria.
  9. K

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    Poleni sana watu wa Arusha!!! Inasemakena IGP yuko njiani Kuelekea Arusha!!!Mungu wasaidie hawa viongozi wapate kufunguka macho na kuinusuru Tz iliyopo ktk hali ya sintofahamu
  10. K

    Magembe hatihati kutorudi Mwanga 2015...

    Kileo anza harakati za kujenga matawi kila kata,watu wa Kisangara juu,changalavo ,Kirongaya,kisangara chini na sehemu za Lembeni wamechoka na huyu jamaa Maghembe,tuko pamoja na harakati zinaendelea
  11. K

    AG amemdhalilisha Halima Mdee bungeni

    Wakati akichangia hoja ya sheria na katiba bungeni huku baadhi ya wabunge wakinongona,mwanasheria mkuu amemumshambulia kwa maneno makali mbunge wa Kawe Halima Mdee,amwambia hajui amweke ktk kundi la lady or gentle man.Maneno haya angeambiwa upande wao ingezua balaa na miongozo ingekua mingi...
  12. K

    Plan B kwa CHADEMA

    Chadema bado safario ni ndefu,mnaweza mkafikiri wananchi wamehamasika bt hua hakuna watu wepesi wanadanganyika na kusahau matatizo yao kwa sekunde chache kama watz!!!mliobahatika kwenda shule na kufunguka akili hamasisha ndugu zako na jirani zako kila wakati,badilisha mtazamo wa baba yako na...
  13. K

    Speaker, unaijenga CHADEMA in the open

    Speaker amesahau majukumu yake na wajibu wake na ameshindwa kabisa kuendesha vikao vya bunge kama speaker,mwenyekiti wake Jenister Mhagama ana afadhali,kuna wakati speaker anajibu hoja za serikali wakati sio jukumu lake hata kama ana uelewa wa hoja husika.Sijawahi kuona speaker kama huyu hata...
Back
Top Bottom