Recent content by kahangala

  1. K

    Afande Sele amlipua Zitto Kabwe kuhusu tuhuma za Ufisadi wa NSSF

    Udikteta uchwara =mahakama ya haki,hakuna wasiwasi wa kujiongopa wa kujitetea na gharama ya kujitangaza ..kila jiwe litaguswa haraka haitakiwi.
  2. K

    Zitto Kabwe anapaswa kushtakiwa kutokana na ufisadi huu wa NSSF

    Ajitume kunyamaza,wafuasi aturuhusu tuombe haki itendeke pasipo chembe ya mashaka..mwanasiasa uchwara.
  3. K

    Rais Magufuli tembelea na DAWASCO, huku mtaani hatupati maji kabisa

    Dawasco ni jipu linalosubili kutumbuliwa.
  4. K

    Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

    Nilioa mhaya asubuhi jioni nikafumania sioni ustaraabu wa Kabila hili zaidi ni kabila la machukizo, mleta mada kama we ni msomi na unajua tafiti natumai kupitia Uzi wako huu utakuwa umepata kitu juu ya kabila lako.
  5. K

    Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

    Ubinafsi, umalaya, masifa ya kijinga nini umhimu wenu kwa taifa hili bora uzungumzie wasukuma wanaoifanya mjini kote isikose nyama ya ng'ombe, dada zenu pia hawaaminiki kwenye ndoa zaidi mnaoana wenyewe.
  6. K

    JamiiForums wakitoa ofa ya kumpa ban mtu mmoja, utamban nani?

    Moderator ana mambo ya kijinga sana.
  7. K

    Zanzibar ni Tanganyika na visiwa vya Mwambao

    Ningemshauli magufuli kuifuta rasimi serikali ya mapinduzi ya zanzibar pamoja na kikatiba chao na kisha visiwa vile kuvifanya mikoa ya Tanzania over.
  8. K

    Herufi tatu (3) tu!

    Nzi
  9. K

    Herufi tatu (3) tu!

    Mbu
  10. K

    Herufi tatu (3) tu!

    Kei
  11. K

    Rais Magufuli toa onyo kuhusu mavazi ya dada zetu, ni aibu tupu

    Maelezo malefu kumbe mtetezi wa vimini subili siku mama yako aige hivyo vivazi apite mbele ya jamaa na marafiki zako kama hutakimbilia hapa kuomba ushauli, najua suala hili unaliangalia kwa jicho la pembeni ndo mañana.
  12. K

    Rais Magufuli toa onyo kuhusu mavazi ya dada zetu, ni aibu tupu

    Serikali ipeleke mswaada bungeni tumalize kazi.
Back
Top Bottom