Ni kweli kuna tofauti kubwa ya anaesoma Mathematics kwa Distance Learning na kwa Face to face.
Yaani Mtu anasoma Concept bila kufundishwa mpaka anaelewa, bila shaka ni ukomavu wa akili.
MAONI YANGU:
Uwiano wa walimu na wanafunzi kwa hayo masomo; Unakuta Shule moja ina walimu wa Hesabu wawili wakati hapo wa History kumi.
Motivation: Hili nalo ni Jambo la Muhimu, walimu wa haya masomo wakipewa motivation itasaidia na wenyewe kuwapa motivation wanafunzi.
Single Subject: Walimu...
Samahani Naomba kuuliza, kama nimefanya course ni elective na nikapata supp.
Je naweza kuomba iyo course ifutwe kwenye kwenye Saris yangu?.
Yaan ionekane sijawahi kusoma course kama hiyo
Samahani Naomba kuuliza, kama nimefanya course ni elective na nikapata supp.
Je naweza kuomba iyo course ifutwe kwenye kwenye Saris yangu?.
Yaan ionekane sijawahi kusoma course kama hiyo
Samahani Naomba kuuliza, kama nimefanya course ni elective na nikapata supp.
Je naweza kuomba iyo course ifutwe kwenye kwenye Saris yangu?.
Yaan ionekane sijawahi kusoma course kama hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.