Bachelor degree with Honours

Bachelor degree with Honours

Me nitatoa ushuhuda wangu hapa. Nina BA in Economics(hons) kutoka udsm but sijui ilikuaje nikawekewa hons. GPA yangu ni 3.0.
Mtiririko wa GPA kuanzia first year ni kama ifuatavyo
First year 3.3
Second yr 3.0
Third year 2.7
Nikiwa mwaka wa pili semester ya pili nilisupp somo moja.
So mpaka Leo sijui kwa nin niliwekewa hons kwenye cheti na wala sioni ka imenisaidia chochote.
Hongera ndugu daah ulikua una drop noma sana ungeongezewa miaka miwili mbele tungekuokota
 
Hongera ndugu daah ulikua una drop noma sana ungeongezewa miaka miwili mbele tungekuokota
Mimi Nina 1st class GPA 4.4 Bsc...... (hons) , kwa mtriiriko ufuatao 4.7,4.4 na 4.1, nilianza kwa hasira nikitokea kazini (in service) baadae 2nd and 3rd year nikajistukia nikapunguza munkari nikaanza kula bata kama machalii wa "direct from school". So down trending doesn't mean jamaa hajiwezi inaweza kuwa ni uamuzi tu!!
 
Kuna system ya elimu ya ulaya na marekani hua zinachanganyaga watu mwishi wa siku maana ya kitu huondoka , mfano Bsc in engineering and BEng ( Bachelor in engineering ) siku hiz hazina tofauti kutokana na baadhi ya nchi kuwa kinyume
 
History itawakomboa, kwa system ambayo tulianza anayo ilikuwa ukipata second class au first class wanakupiga honours haijalishi kama trend yako ilikuwaje. Hii ndiyo system amabayo UDSM bado wanayo ikirithiwa kutoka University of London ya miaka hiyo.
Sasa kwa UK wakaanzisha hizi degree za honours kawaida miaka 4 na ukimaliza unaweza kwenda moja kwa moja PhD na huwa na research project kwa kawaida. Hizi hazijalishi performance yako la msingi ufaulu na ukifauli unapewa cheti chako cha degree ya honours hata kama ni pass degree.
 
History itawakomboa, kwa system ambayo tulianza anayo ilikuwa ukipata second class au first class wanakupiga honours haijalishi kama trend yako ilikuwaje. Hii ndiyo system amabayo UDSM bado wanayo ikirithiwa kutoka University of London ya miaka hiyo.
Sasa kwa UK wakaanzisha hizi degree za honours kawaida miaka 4 na ukimaliza unaweza kwenda moja kwa moja PhD na huwa na research project kwa kawaida. Hizi hazijalishi performance yako la msingi ufaulu na ukifauli unapewa cheti chako cha degree ya honours hata kama ni pass degree.
Exactly, kwa UDSM wanaangalia sana course zenye desertation (thesis) ndiyo unapewa honors. Hiyo ya mtiririko wa GPA siyo kweli kwani binafsi nina hons degree ya UDSM na nilipata 3.6, 4.2, 4.5 na nikamaliza na 4.1.

Ukweli ni kwamba kila nchi au chuo kina utaratibu wake. Ukisoma vyuo vya Uingereza degree karibu zote ni honors wakati USA vyuo vichache sana. Asia ndiyo hawajui kabisa hiyo kitu ya honors.
 
Yaah kama nilivyosema kuna vyuo vingine huwa na degree ya miaka 4 ila unaweza kuishia mwaka wa tatu nakupewa degree ya kawaida , alafu ukimaliza mpaka wa nne unapewa hons , vyuo vingine miaka mitatu gpa ikiwa mbovu hupati hons , vingine miaka minne lakini gpa ya mwaka wa mwisho ukizingua hupati hons , yaani ni mchanganyiko kutegemea na uliposoma ( nchi ) , pamoja na chuo chenyewe pia , hivyo hons zinasifa tofauti inategemea na mahali na chuo ulichosoma
 
Haya mambo ya "honors" SUA hamna kabisa. Hata ukiwa na gpa ya 4.5 hupewi hayo mambo ya "honors". Nadhan inategemea na chuo.
 
Mfano mwingine ni undergraduate na graduate , huu ni mfumo wa ulaya , marekani wao undergraduate ni graduate , na graduate kwao ni postgraduate, kudadek wanatuchanganya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom