Mtoa uzi huu umeanza vzur ila mwisho umeharibu ila ukitaka kupata ufahamu kuhusu jambo hili kamuulize Huddah wa Kenya ame_share her papuchi na billionaires na yy kabak kama alivyo so be care for your argument
Mkuu pole sana kwa yote ila always a real man never run his own threats pia huu ni wakat wa kuonesha upendo kwake zaid sio kufikiria kumkimbia so msaidie kulingana na uwezo wako ulionao coz mwisho wa wema ni ushindi uliotukuka
Habari za muda huu wanaJF.
Niende kwenye mada kuna jamaa yangu wa karibu ameulizwa na demu wake kuwa huwa anavaa bukta yake mara ngapi hadi kuifua ? Baada y jamaa kuulizwa swali akajibu inategemea ila mara nyingi kuanzia mara 4 or 5 baada ya hapo nafua.
Baada ya majibu hayo demu akamwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.