ubaya ni kwamba there is no guarantee kama atabaki baada ya huo ukwel, ama kweli he/she will hold till marriage.
I once knew that's the woman of my life, thought nothing can happen and separate us kwa level tuliyofikia. Leo hatuko pamoja.
Sasa kanieleza yake mengi (sijui kama alimalizaga), nami nimeeleza yangu, ila najiona mwenye furaha nibakishaga moja kuubwa. yaan angekuwa anajua na hiyo ningehama huu mji.
Nina uhakika hakuna mtu kati yetu atasimama against mwenzake.
Me naona ni bora tu asijue labda kama hilo jambo lako ni la ajabu sana.
Karucee keeper or chapaIlale anajulikana after 3 or more times of conjugal rights
Sent from my SM-J320F using
JamiiForums mobile app