ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,648
Kwanza nianze kwa kuwapa shikamoo wakubwa zangu.kuna kitu kinanishangaza Sana katika mahusiano ya binadamu,Ni rahisi kukuta watu wanaume wakiongea pamoja na kutaniana.yaani kwa mfano ninaweza nikawa niko bar nakunywa bia na mzee mwenye miaka hata 60 ambaye hata simfaham ila nikawa napiga naye stori kwa Uhuru tukataniana lakini huwezi kukuta binti amekaa na Bibi wakataniana labda wawe Ni ndugu.Au kwa mfano kwenye bus mkisafiri,Mimi kijana nikikaa seat moja na mbabu tutaongea safarini mpaka tutakapofika ila ukikuta msichana amekaa na Bibi au mmama hawataongea Wala kusemeshana kimya mwanzo mwisho.wanawake mna nini mbona mpogi serious Sana hata utani nyinyi kwa nyinyi hakuna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app