Huu nao n ugonjwa wa akili,uhuru wa mtanzania hauhitaji mjadala Wala hautolewi na raisi km fadhila,,,hyo n natural justice,,,,,lkn Kila utawala utapita ht akisema tuwe tunakula mlo mmoja kwa siku ww na yy white tutapita hii dunia
hilo jambo linamtesa kisaikolojia,nimekuwa nawaza mbona akiwa anatoa hotuba haachi kugeuka km anasoma wasikilizaji wake?ww fuatilia hotuba za wasira lazima ageuke , according to polepole
Kwa maelezo ya polepole alikuwa anaongea hk nyumban hajaacha ulinz mwl anamsikiliza,naona tangu wkt huo mzee amekuwa makini cku hz akiongea lazima ageuke kuchek km hakuna wa kudukua mazungumzo,,,,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.