johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,599
Hasa kuhusu yeye kwenda Mwitongo nyumbani kwa baba wa taifa mwalimu Nyerere na kusababisha Vurugu
Muda utaongea
Ahsanteni sana 😄🙏
Muda utaongea
Ahsanteni sana 😄🙏
busara akae kimya tu.Hasa kuhusu yeye kwenda Mwitongo nyumbani kwa baba wa taifa mwalimu Nyerere na kusababisha Vurugu
Muda utaongea
Ahsanteni sana 😄🙏
Yetu macho,wanakula wakishiba wanagombanaSiye watoto wa Ng'ombe tunawangalia tu watoto wa marais
Sema mboga mboga wanadharau sana kweli yule mzee wakukaa kijijini anapanda jukwaani kujibu vijana si kutuchezeaYetu macho,wanakula wakishiba wanagombana
😂Hii ni mbaya sana mkuuSema mboga mboga wanadharau sana kweli yule mzee wakukaa kijijini anapanda jukwaani kujibu vijana si kutuchezea
Wa kukaa Kijijini ama wa kufa kabisa ..an faida Gani kwa nchi.Sema mboga mboga wanadharau sana kweli yule mzee wakukaa kijijini anapanda jukwaani kujibu vijana si kutuchezea
Umri wake kupanda majukwaani ni kutia nuksi taifaWa kukaa Kijijini ama wa kufa kabisa ..an faida Gani kwa nchi.
Polepole kusema Mzee Wassira kapewa kile Cheo na Mtu fulani ni kumvunjia heshima huyo MzeeSema mboga mboga wanadharau sana kweli yule mzee wakukaa kijijini anapanda jukwaani kujibu vijana si kutuchezea
Kwani uongo sasa kwa hesabu za haraka haraka ccm imekosa watu wenye nguvu na marifa mpaka kuweka yule mzee ambaye akikaa dakika mbili bila kuonge betri inakuwa low charge anaanza sinziaPolepole kusema Mzee Wassira kapewa kile Cheo na Mtu fulani ni kumvunjia heshima huyo Mzee
Lazima ajibiwe
Kwa maelezo ya polepole alikuwa anaongea hk nyumban hajaacha ulinz mwl anamsikiliza,naona tangu wkt huo mzee amekuwa makini cku hz akiongea lazima ageuke kuchek km hakuna wa kudukua mazungumzo,,,,,,,Hasa kuhusu yeye kwenda Mwitongo nyumbani kwa baba wa taifa mwalimu Nyerere na kusababisha Vurugu
Muda utaongea
Ahsanteni sana 😄🙏
1. Makongoro, Madaraka, Andrew na Mama Maria Nyerere,Hasa kuhusu yeye kwenda Mwitongo nyumbani kwa baba wa taifa mwalimu Nyerere na kusababisha Vurugu
Muda utaongea
Ahsanteni sana 😄🙏