CONNECT AND COLLABORATE WITH OTHER YOUNG INNOVATORS FROM AROUND THE GLOBE
For over 65 years, the Uniterra International Seminar has offered Canadian students and young professionals a unique experience to exchange and share knowledge across cultures. First initiated by WUSC in 1948, the Uniterra...
nb nifahamishwe yafuatayo; Wassira anaratibu mahusiano gani serikalini,kwa sababu uhusiano wa kimataifa kuna Membe, EA kuna 6, mambo ya ndani kuna Nahodha. mi naona huyu mzee kwa Magamba anasimama kama kamanda wa kupika majungu tu cz alipewa wizara ya kilimo hakuna alicho fanya huko!
may be one could come up with clear explanation on what are the causes (causative agent, like malaria ni mbu jike)of such disease, its sign (early and when it is chronic), possible treatments and je unaambukizwa kwa njia zipi! so tht every one can get out of this puzzle! tusirushiane maneno...
Hiyo ni kuzima moto wa kuzongwa na waandishi wa habari cz nchi hii journalist wamekuwa mahakimu wa kesi zinazofanana na hizo baada ya mahakama kutawaliwa na magamba!
napata mashaka na jitihada za viongozi wa juu wa kisiasa Tanzania kujionesha wasafi mbele ya macho ya mataifa mengine wakati hali ndani ya nchi kiutendaji si shwari na ni uozo kila kona unayo gusa, kuanzia kwa wanafunzi mpaka wafanyakazi! hali hii inajieleza vipi katika report ya utawala bora?
sidhani kama taarifa hizi ni za kweli na zinatoka kwa Sitta mwenyewe kwasababu ninachojua Mzee Sitta yupo Marekani siku ya nne sasa na taarifa hizo amezitoa kwa nani? kwa waandishi wa habari au kwa msemaji wake. otherwise this is misconception
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.