Recent content by Kaelenga

  1. K

    International seminar

    CONNECT AND COLLABORATE WITH OTHER YOUNG INNOVATORS FROM AROUND THE GLOBE For over 65 years, the Uniterra International Seminar has offered Canadian students and young professionals a unique experience to exchange and share knowledge across cultures. First initiated by WUSC in 1948, the Uniterra...
  2. K

    Zitto kweli ni wakati muafaka kutangaza hili?

    tukumbuke kuwa mwenye maamuzi ya mwisho ni wadau wa chama! let the system judge him. of course anaweza bt watampitisha?
  3. K

    Stephen Wassira umemwachia nani ofisi?

    nb nifahamishwe yafuatayo; Wassira anaratibu mahusiano gani serikalini,kwa sababu uhusiano wa kimataifa kuna Membe, EA kuna 6, mambo ya ndani kuna Nahodha. mi naona huyu mzee kwa Magamba anasimama kama kamanda wa kupika majungu tu cz alipewa wizara ya kilimo hakuna alicho fanya huko!
  4. K

    Stephen Wassira: Nimezipata habari kutoka Vatican na sio Tz

    aliyepanga warusha makombora wa CCM kule Arumeru kafanya kosa kubwa kumpa nafasi Wasira! na watajuta kwa hilo! let CDM use this advantage!
  5. K

    Mpasuko CHADEMA, Nini kifanyike?

    ukipata umaarufu kupitia vyombo vya habari utashuka pia kupitia vyombo vya habari
  6. K

    Watanzania wengi tu wanaumwa ugonjwa wa Mwakyembe - Madaktari

    may be one could come up with clear explanation on what are the causes (causative agent, like malaria ni mbu jike)of such disease, its sign (early and when it is chronic), possible treatments and je unaambukizwa kwa njia zipi! so tht every one can get out of this puzzle! tusirushiane maneno...
  7. K

    (PICHA) Mwakyembe: Mjadala wa AFYA yangu UMEFUNGWA 'FULL STOP'

    Hiyo ni kuzima moto wa kuzongwa na waandishi wa habari cz nchi hii journalist wamekuwa mahakimu wa kesi zinazofanana na hizo baada ya mahakama kutawaliwa na magamba!
  8. K

    utawala bora na utitiri wa migomo Tanzania does it make sense?

    napata mashaka na jitihada za viongozi wa juu wa kisiasa Tanzania kujionesha wasafi mbele ya macho ya mataifa mengine wakati hali ndani ya nchi kiutendaji si shwari na ni uozo kila kona unayo gusa, kuanzia kwa wanafunzi mpaka wafanyakazi! hali hii inajieleza vipi katika report ya utawala bora?
  9. K

    Arumeru Mashariki, CHADEMA kunyakua jimbo?

    sidhani kama taarifa hizi ni za kweli na zinatoka kwa Sitta mwenyewe kwasababu ninachojua Mzee Sitta yupo Marekani siku ya nne sasa na taarifa hizo amezitoa kwa nani? kwa waandishi wa habari au kwa msemaji wake. otherwise this is misconception
Back
Top Bottom