Watanzania wengi tu wanaumwa ugonjwa wa Mwakyembe - Madaktari

Mkandara,
Hawa madaktari hawajasema ni ugonjwa wa kawaida, wamesema ni common kwa maana watu wengi wanaumwa ugonjwa huo.

Kama ni kweli basi hii ya Mwakyembe isaidia kutangaza ugonjwa huu ili hata madaktari wa wilayani wajue namna ya kuutambua na kutibu badala ya watu kuumia hasa kwa huko wilayani.

Hata ukisoma maelezo ya ugonjwa huo kwa nchi kama USA wanasema hivyo hivyo kwamba ni common na ukiwahi unaponyeka.
Mkuu wangu mbona unachanganya lugha wewe nambie hiyo common uloitumia kwa kiswahili utasema nini? au neno kawaida wewe unalichukulia vipi ktk magonjwa..Dr. kaongezea kusema:- "If you open a skin clinic in this city, for example, at least three people will seek treatment for scleroderma within two to three weeks," Sasa walishindwa vipi kutambua mwanzoni..
 
Mwakyembe illness common in TZ: doctors
By Polycarp Machira
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. The disease that deputy minister for Works Dr Harrison Mwakyembe has been battling for almost six months, is fairly widespread in Tanzania, but is only now becoming a subject of public discussion.

Medical experts say that on average, between two and five people seek treatment for scleroderma at clinics in Dar es Salaam Region at three-weekly intervals, which they suggest represents a countrywide prevalence trend .

Up to last Monday when Dr Mwakyembe disclosed that he was suffering from scleroderma ‑ a chronic condition that causes inflammation and thickening of the skin – knowledge or awareness of the disease was confined to a relatively small circle of doctors, medical students, patients and their relatives.

It has now become a subject of wider public interest in the wake of the controversy that has marked the deputy minister’s health status, triggered, primarily, by allegations that he had been poisoned by individuals that neither he nor political allies who support the theory, have named.

The controversy persists, because simultaneous to telling journalists at a briefing session in the city that doctors at Apollo Hospital in India had diagnosed ‘popular scleroderma’ as the ailment that was troubling him, he called on the government team investigating the issue to speed it up. Medical doctors who spoke to The Citizen yesterday confirmed that the disease was fairly common in the country, but noted that its effects spread slowly.

Dr Isaac Maro of the Infectious Diseases Centre in Dar es Salaam confirmed that many Tanzanian are suffering from the disease, whose causes health experts had not established.“If you open a skin clinic in this city, for example, at least three people will seek treatment for scleroderma within two to three weeks,” he said.

The disease is an autoimmune, rheumatic, and chronic affliction that affects the body by hardening connective tissues. Literally, “scleroderma” means “hard skin”.

It is classified as an autoimmune disease, which means that a person’s immune system works against itself. Its severity varies from person to person: it can be a mild annoyance or it can cause significant clinical problems.

For others, it can become life threatening. Dr Maro cited the case of a scleroderma patient he had attended over the past two years, but whose condition didn’t seem serious. Doctors say treatment of the disease takes a long time, and that, if it is not administered at early stages, the disease affects internal body organs like lungs.

Another skin consultant doctor volunteered to comment on the disease but on condition of remaining anonymous, as a safeguard against being associated with the controversial dimension to Dr Mwakyembe’s illness. He said several people suffering from the disease attended his clinic in Dar es Salaam, adding that, it was afflicting many others all over the country, but very few of whom sought treatment, especially those living in villages. Scleroderma starts by affecting hands and face, but seldom affects hair; and sometimes penetrates internal organs at advanced stages.
[/QU
JAMANI WANA JF SIOKILA ANAYEJIITA DR. AAMINIKE ANACHOKISEMA. HUYU ISAACK MARO NI KWELI ALISOMEA UDOKTA LAKINI HAKUWAHI KUJIHUSISHA NA KUTIBU WAGONJWA HATA MARA MOJA TOKA AMALIZE PALE HUHIMBILI MWAKA 2006.
SASA HIYO ANALYSIS KAIFANYA LINI NA WAPI. KWA UHAKIKA KABISA MIMI NAAMINI HAJAWAHI KUKUTANA NA MGONJWA MWENYE SCLERODERMA KAMA AMBAVYO MIMI SJAWAHI KUKUTANA NAO PAMOJA NA KUWEPO MUHIMBILI ZAIDI YA MIAKA KUMI SASA. NIMJUAVYO DR ISAACK NIMTANGAZAJI WA CLOUDS FM AKITANGAZA VIPINDI VYA JAHAZI NA AFYA CLUB OR SOMETHING. AACHE KUTOA TAKWIMU ZA UWONGO AS THE DISEASE IS EXTREMLY RARE ESPECIALY IN AFRICA.
 
Hakuna hata cha kushangaza kuwa kenda kutibiwa India. Zitto Kabwe alienda kutibiwa kipanda uso na malaria India wakati Tanzania ni common na yanatibika
Sii kweli Zitto alikuwa na maradhi zaidi ya Malaria.. ama hukumsoma vizuri alipokuwa India akisubiri kufanyiwa operation ndogo....nasema uongo? Kushindwa kutibiwa ni tofauti na kushindwa kugundua ugonjwa ambao ni common. Pia kuna swala la hospital moja kushindwa na sio madaktari wetu bingwa kushindwa kugundua ugonjwa ambao tayari umeanza kuathiri ngozi na kumnyoyoa nywele..
 
Tusiwashambulia madaktari wetu bila kutafakari.
Prior to Mwakyembe kwenda India, alikuwa anatibiwa kwa takribani miezi mitatu akiwa nyumbani na presumably aliridhika na kwa nini? Huwezi kupata referral kwenda nje bila kupata opinion ya madaktari watatu. Diagnosis yao na za India zina lingana? Kama hazilingani , ni kwa nini? Uwezo?
 
Tusiwashambulia madaktari wetu bila kutafakari.
Prior to Mwakyembe kwenda India, alikuwa anatibiwa kwa takribani miezi mitatu akiwa nyumbani na presumably aliridhika na kwa nini? Huwezi kupata referral kwenda nje bila kupata opinion ya madaktari watatu. Diagnosis yao na za India zina lingana? Kama hazilingani , ni kwa nini? Uwezo?
Swala la uwezo lipo, vifaa lipo na kadhalika isipokuwa pale ugonjwa unaposhindikana kujulikana chanzo chake wakati tunaambiwa leo huo ni ugonjwa wa kawaida kabisa yaani wanakutana na wagonjwa kama Mwakyembe kila week...Mbona walishindwa kutuambia siku zile zile alougua akiwa hapa nyumbani hadi leo? Na kama ni wa kawaida hivi kwa nini ilikuwa siri? walikuwa wakificha nini muda wote maana wengine tulianza kufikiria pengine ana ngoma ndio maana wanaficha....Kwa nini walituficha ikiwa ugonjwa ni huu! why take that long!
 
Sii kweli Zitto alikuwa na maradhi zaidi ya Malaria.. ama hukumsoma vizuri alipokuwa India akisubiri kufanyiwa operation ndogo....nasema uongo? Kushindwa kutibiwa ni tofauti na kushindwa kugundua ugonjwa ambao ni common. Pia kuna swala la hospital moja kushindwa na sio madaktari wetu bingwa kushindwa kugundua ugonjwa ambao tayari umeanza kuathiri ngozi na kumnyoyoa nywele..
Mkandara,

Watanzania wangapi wana kansa na wanatibiwa hospitalini bila kujulikana wana kansa? Utasema kansa sio ugonjwa common Tanzania?

Inategemea Mwakyembe alikuwa anatibiwa na watu gani. Magonjwa kama hayo ni rahisi ukipitia kwa watu ambao wanahusika na magonjwa ya namna hiyo. Kwa mfano akina prof. Mwakyusa hawakugundua kansa ya Nyerere mpaka alipoenda nje. Lakini Nyerere huyo huyo si ajabu angeenda hospitali ile ya Ocean road wangegundua hapo hapo nyumbani.

Watu kibao wanaenda India kutibiwa magonjwa ambayo ni common mno TZ na hayatambuliwi mpaka wakifika huko India. Tatizo letu ni hizi hospitali za chini na hawa general doctors ambao wanashindwa kutambua magonjwa mapema.
 
Binafsi nasubiri ripoti ya Nahodha ndipo nitakuwa na lakuchangia. Maana upepo umekuwa unageuka geuka.
 
..kuna zaidi ya aina moja ya Scleroderma.

..sasa Scleroderma inayomsumbua Dr.Mwakyembe ni ipi?
 
may be one could come up with clear explanation on what are the causes (causative agent, like malaria ni mbu jike)of such disease, its sign (early and when it is chronic), possible treatments and je unaambukizwa kwa njia zipi! so tht every one can get out of this puzzle! tusirushiane maneno tutafute ukweli tumjue nani hasa muhusika wa sakata hilo!
 
[/QUOTE]mtume pauli
JAMANI WANA JF SIOKILA ANAYEJIITA DR. AAMINIKE ANACHOKISEMA. HUYU ISAACK MARO NI KWELI ALISOMEA UDOKTA LAKINI HAKUWAHI KUJIHUSISHA NA KUTIBU WAGONJWA HATA MARA MOJA TOKA AMALIZE PALE HUHIMBILI MWAKA 2006.
SASA HIYO ANALYSIS KAIFANYA LINI NA WAPI. KWA UHAKIKA KABISA MIMI NAAMINI HAJAWAHI KUKUTANA NA MGONJWA MWENYE SCLERODERMA KAMA AMBAVYO MIMI SJAWAHI KUKUTANA NAO PAMOJA NA KUWEPO MUHIMBILI ZAIDI YA MIAKA KUMI SASA. NIMJUAVYO DR ISAACK NIMTANGAZAJI WA CLOUDS FM AKITANGAZA VIPINDI VYA JAHAZI NA AFYA CLUB OR SOMETHING. AACHE KUTOA TAKWIMU ZA UWONGO AS THE DISEASE IS EXTREMLY RARE ESPECIALY IN AFRICA.[/QUOTE]

Du! huyo Dr Maro kamaliza degree yaka jana tu mwaka 2006, bado ni mtoto katika gani hii na hana ubungwa wowote, na kwa experience ya miaka mitano he is still a general practitioner.
Kwa wale mambu mbu mbu wa field ya udaktari ni vyema wakatambua maoni ya mtu na kulinganisha na uzoefu wake.
Huyo kijana, Dr Maro akiwa ana umri wa zaidi ya miaka 35 nita shangaa, I the medical practice he is still a baby!
 
Back
Top Bottom