Stephen Wassira umemwachia nani ofisi?

Stephen Wassira umemwachia nani ofisi?

nb nifahamishwe yafuatayo; Wassira anaratibu mahusiano gani serikalini,kwa sababu uhusiano wa kimataifa kuna Membe, EA kuna 6, mambo ya ndani kuna Nahodha. mi naona huyu mzee kwa Magamba anasimama kama kamanda wa kupika majungu tu cz alipewa wizara ya kilimo hakuna alicho fanya huko!
 
Naomba wanabodi mnijuze sababu zinazo mfanya mtu kama wassira kuiacha ofsì yake na kwenda kwenye kampeni za chama kwa muda mrefu.Yeye ni waziri akiwa ni sehemu ya serikali,huko aliko mi navyoona hafanyi kazi ya serikali lakini nina uhakika atakuwa na gari la serikali na analipwa per diem kama waziri akiwa nje ya kituo cha kazi.Nashindwa kuelewa kazi zake za uwaziri anazifanya lini au ndo hayo mambo yake ya KUFANYA BUNGE KAMA SLEEPING ROOM?

kwani hiyo wizara yake inafanya kazi gani ?
 
Back
Top Bottom