Hawa ndiyo viongozi watunga sera na washauri wakuu wa Rais; fikiria taifa linaloongozwa na watu wa aina hii litakuwa na mwonekano gani kwa jamii ya kimataifa.
Giza mtindo mmoja.
Hawa ndiyo viongozi watunga sera na washauri wakuu wa Rais; fikiria taifa linaloongozwa na watu wa aina hii litakuwa na mwonekano gani kwa jamii ya kimataifa.
Hawa ndiyo viongozi watunga sera na washauri wakuu wa Rais; fikiria taifa linaloongozwa na watu wa aina hii litakuwa na mwonekano gani kwa jamii ya kimataifa.
Wassira amewambia watu wa karibu yake kuwa amepokea waraka kutoka Vatican unaohusiana na Dr Slaa na kama wakatoliki hawalielewi hilo wafuatilie Vatican.
Safi sana mkuu, umetoa maelezo "kuntu" kabisa!Huyu diye mshauri wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Sijui anamshauri Umbeya Majungu Wizi na Umalaya??
Si vema kumuacha hivi hivi mtu mshenzi na mjivuni kama Wasira.
Mtu wa ovyo hana staha mwongo na mwizi hamwogopi Mungu wala ibilisi.
Huyu Nunda anaogopa Pochi na Kuchacha tu.
Hatuhitaji kwenda Vatican kuthibitisha maneno yake kma huyu mjinga anavyotaka ifanyike. Kwake Vatican ni mbali sana na ni vigumu kupata ukweli hasa kama wewe si kiongozi wa CCM.
Hivi huyu Juha mtu pamoja na uwaziri wake hajui tuna balozi wa Vatican hapa ambaye ni msemaji wa Vatican nchini Tanzania??
Balozi wa Vatican kaingizwa kwenye soo hii na huyu Nunda akidhani atakwepa risasi ya ukweli iipigwa kuelekea kichwani kwake.
Ili kuivunja heshia ya Dr Slaa na mtandao wa upinzani viongozi wa serikali ya CCM imebidi kumwiingiza kwa nguvu Kiongozi wa kitaifa ambaye ni Marehemu katika kujenga hoja yao mfu, pia imebidi kuwaingiz Maaskofu wa kanisa katoliki na baraza zima la maaskofu na hata Papa mwenyewe!!!
Kweli uongo una gharama,tena gharama kubwa.
Anayoyaongea yanaendana na jinsi umbo na sura yake ilivyo na matendo yake pia! Hiyo sura yake tu ni dalili tosha kuwa alilaaniwa kabla hata ya kuzaliwa. Binadamu wa kawaida hawezi kuwa na umbo kama lile. Ni wa kupuuzwa huyu DUBU.
kwanza wasira huyu kwa kitendo chake cha kulala bungeni kwenye reshalfle inayokuja tumeshamtupa maana hana msaada, sasa sijui atarudi mbugani?
Hivi huyo mzee alitoroka Gombe National park au Mahale National park?
Mtu mwenye busara akivuliwa nguo, uchuchumaa. Yeye anazidi kujianika.
Kwani mali za RC zote zinamilikiwa na nani kama si Vatikan?
halina jipya ili jiituWassira amewambia watu wa karibu yake kuwa amepokea waraka kutoka Vatican unaohusiana na Dr Slaa na kama wakatoliki hawalielewi hilo wafuatilie Vatican.
wassira amewambia watu wa karibu yake kuwa amepokea waraka kutoka vatican unaohusiana na dr slaa na kama wakatoliki hawalielewi hilo wafuatilie vatican.
KAAZI KWELI KWELI... yaani Wassira ana access ya Vatican kuliko kina Pengo na wenzake! Kweli magamba wakali kama sio ameingizwa mjini na wajanja..Wassira amewambia watu wa karibu yake kuwa amepokea waraka kutoka Vatican unaohusiana na Dr Slaa na kama wakatoliki hawalielewi hilo wafuatilie Vatican.
duuh bonge la povu mdomoni kazi kweli kweli,soma vizuri taarifa ya mtoa mada.Una hakika gani ni kweli aliyoyaandika,uthibitisho gani ulioupata kama nikweli yaliyoandikwa? Tatizo wengi humu JF hukurupuka kuandika kabla ya kutafakari kile waandikacho.Hata hivyo umeonesha chuki na hasira za wazi kwa wassira kitu ambacho kimekufanya utumie maneno makali isivyo stahili,kama matusi yangekuwa yanaruhusiwabila shaka ungetukana.Tafakari kwanza kabla ya kuandika
Uongo mwingine ni wa kitoto kabisa, hivi wazee kama hawa huwa wanachaguliwa na watu wa aina gani maana kila akiibuka ni point less, ni vema ukawekwa ukomo wa kutawala ktk katiba ingawa siasa haina umri inabidi hili liangaliwe kwa macho mawili. Uongozi waachiwe vijana na wazee wenye hekima na busara zao wawe washauri tu.