Recent content by Kaduguda

  1. Kaduguda

    Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

    Ni kweli ni umbali mfupi sana. Lakini hawakwenda moja kwa moja (direct route kama ndege). Kwa nini ilitokea hivyo, jibu liko kwenye hili andiko: “Nawe utaikumbuka njia ile yote BWANA, Mungu wako aliyokuongoza miaka hii arobaini katika jangwa, ili akutweze, kukujaribu kuyajua yaliyo moyoni...
  2. Kaduguda

    Rais Samia: Demokrasia ni kuheshimu Sheria, heshima ya Mtu inakuja kwa kuheshimu Sheria za Nchi, ombi la Zitto kuhusu kesi ya Mbowe lajibiwa

    Kwa jinisi kesi ilivyofika, maji yashawafika shingoni. Kama asingesema kwenye mkutano wa vyama vya siasa angeweza kusema mahali popote pale! Period!
  3. Kaduguda

    Ni wangapi walioomba Mamlaka za Tanzania kumuachia Mbowe bila Masharti kabla ya leo?

    Ktk hili yawezekana Zito alikuwa na nia nzuri ila presentation ndio imekuwa mbaya. Hakutakiwa kuomba huruma ya mama ili kumtoa Mbowe. Alichotakiwa kusema ni kuweka bayana kwamba hii ni kesi iliyoghubikwa sababu za kisiasa na hivyo tunaitaka serikali yako imuachie Mbowe bila masharti yeyote maana...
  4. Kaduguda

    Kwanini Uganda na Egypt hawana mgao wa umeme na wanategemea maji kuzalisha umeme?

    Lakini pia hawategemei MAJALIWA ya mvua ili kuwaletea SULUHU ya mgao wa umeme na maji!
  5. Kaduguda

    Simba kukakataa kuvaa medali siku ya ngao ya jamii ni kukosa ungwana

    Nani aliwaambia wamualike Job…?
  6. Kaduguda

    Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

    Sidhani kama kuna kujuta ktk hili. Hawajavunja kosa lolote lile kisheria. Ilitakiwa hii kesi irushwe live ila ndo hivyo tena!
  7. Kaduguda

    Tume ya Uchaguzi: CHADEMA yasimamisha Dismas Luhwago mgombea Udiwani kata ya Luduga

    Picha ya kwanza ni mgombea kwa tiketi ya CHADEMA, Bw. Dismas Luhwago akirejesha fomu za uteuzi kugombea kiti cha Udiwani Kata ya Luduga Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe, mkoani Njombe na ya pili ni mgombea kwa tiketi ya CCM, Bw. Andrea Maseleka akirejesha fomu za uteuzi
  8. Kaduguda

    Simba kwa huyu mgeni rasmi wa Simba Day leo, mmetuangusha sana mashabiki

    Shida kubwa kwake ni kwa maamuzi yake yasiyozingatia katiba na hali halisi ya wanyonge - wananchi! Kama maamuzi yanapitishwa kisha anashangaa kwa nini yalipita bungeni unadhani kuna kiongozi hapo? Lakini pia mgeni rasmi ni yule ambaye ukimuweka kwenye mizani sehemu kubwa ya jamii inamkubali iwe...
  9. Kaduguda

    Simba kwa huyu mgeni rasmi wa Simba Day leo, mmetuangusha sana mashabiki

    Kwa kitendo cha kumualika Job, Simba wakubali hawakushauriwa vizuri. Hili litawagharimu kukosa mashabiki uwanjani lakini pia ikitokea wamefungwa wajiandae kuzodolewa! Credibility ya Job imeshuka sana toka kwa Mwendazake mpaka sasa!
  10. Kaduguda

    FULL TIME: Simba Vs TP Mazembe(0-1) | Simba Day | Mkapa Stadium

    Kwenye mgeni rasmi, Simba tumechemsha sana! Nani alitushauri kumuita Mh. Job?
  11. Kaduguda

    Kesi ya Ugaidi ya Mbowe itaondoka na watu Polisi!

    Ni mtazamo wangu tu lakini inavyoelekea Chief Hangaya ameachia hii kesi ili Polisi waaibike na mwisho wa siku kuna watu watanyolewa vichwa hapa! Subirini muons maana sio kwa udhaifu ambao Polisi wanaonesha kwenye utetezi wao huko mahakamani. Mama anaupiga mwingi!
  12. Kaduguda

    Godbless Lema: CHADEMA imepata taarifa za Serikali kutaka kulazimisha kumfunga Mbowe kimkakati

    Sorry naona hii ilinipita hivi waliohukumiwa wengine wamepigwa miaka mingapi au adhabu ikoje maana bado nawaona wanakuja mahakamani na Mbowe au hii ni kesi nyingine tena?
  13. Kaduguda

    GE2020 CHADEMA kufungua kesi kwa ajili ya kumtafuta aliyesaini Barua ya NEC inayohusu majina ya Viti Maalum

    Good move katika kujitakasa. Sasa subiria sarakasi zitakazopigwa na Tume ya Uchaguzi. Hakuna nakala wala nini watakachokipata toka tume.
  14. Kaduguda

    Kwa niliyoyashuhudia katika Uchaguzi huu, Poleni viongozi wa Upinzani

    Mbinu Peter iliyobaki kwa upinzani kuweza kushika na kuongoza nchi hii ni kupandikiza watu wao ndani ya CCM. Ni kwa njia hiyo tu wataweza kuivuruga CCM na mwisho wa siku itabaki kweupe. Ni njia ndefu lakini salama!
Back
Top Bottom