NILIVYO KUTANA NA MSUKUMA KWENYE MSITU WA MALANGAMILO
SEHEMU YA PILI
ALLY KATALAMBULA.
NAVUTA moto, chopa inapepea, ndani ya dakika sufuri tayari nimetokea upande wa pili wa Ile barabara ya vumbi.
Nimefanikiwa kulikwepa geti la polisi...sasa nakatisha kwenye uwanja wa gulio la kila mwezi...
NILIVYO KUTANA NA ESTA KIJIJINI MKOLA.
Hali ya hewa Ilikuwa inafika nyuzi joto 10C hadi 12C. Ni kipindi Cha baridi, tena baridi kweli, halafu unaambiwa angalau huku ndani ndani, huko Mbeya mjini ngoma inasoma hadi nyuzi 4C....Hili ni jokofu 🤭
Nyakati hizi za baridi kila mtu ungemuona na...
NILIVYO KUTANA NA MSUKUMA KWENYE MSITU WA MALANGAMILO
ILIKUWA JUZI TU yaani usiku wa kuamkia Jana Kabla ya hakujakucha.... Hakuja pambauzika, usiku wa siku hiyo, niliomba Dua kwa sir God aniamshe mapema sana kwani ratiba yangu Ilikuwa tight...
Kweli bwana Mungu yupo wazeee, na anajibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.