Very good observation. Mi niliziangalia zile video nikagundua something fishy.
Ukiangalia video zote utagundua kuwa jamaa na mtu wake wanayenjunju wanajirekodi na wote wanaingalia camera. Ktk uhalisia hicho kitendo si cha kawaida, mke wa mtu au demu wa kitaa atakubali kutoa nyapu lakini si...
Nawasalimu wote kwa jina la jamhuri ya Tanganyika.
Awali ya yote naipongeza TRA kwa kuvunja rekodi ya ukusanyaji wa mapato kwa mwezi Septemba hadi kufikia Trillioni 3.1.
Pia nilishtushwa na taarifa za idadi ya watanzania wanaolipa kodi kwamba ni milioni mbili tu.
Hata hivyo ni jambo jema kwa...
Umeandika vizuri sana lakini hizo sheria kwenye political ground zitaishia kumgaragaza Mama yako.
Endapo mwenendo ule wa Kikwete kuwa_treat Wapinzani ungeendelea kwa miaka mingine mitano huenda leo hii tungekuwa na serikali inayoongozwa na chama pinzani
Mi nilikuwa nasoma, nikitoka class tu naenda Viwandani kupiga kazi, siku za weekend naenda kufanya usafi kwenye kumbi za senema, ilinilipa sana hadi hii leo hapa Bongo nimeweza kuwekeza kwa mtaji niliotoka nao ugaibuni na Mungu ananijalia Maisha si mabaya.
2014/15 - 94.3 B
2015/16 - 109.3 B
2016/17 - 113.8 B
KAMA JUMLA YA HASARA SHIRIKA LA NDEGE TZ KWA MIAKA MITATU YA FEDHA MFULULIZO NI TSH 317.4 B[emoji35](hivi hizi ni takwimu za kweli?)
TAFUTA THAMANI YA HASARA KWA MIAKA MITANO?
Tangu lini Ukafurahia kumkuta house girl/boy anatanua kwa pesa halali aliyoipita Kwa kufanya vibarua Kwa jirani?
Siku mfanyakazi wa ndani akikimbilia kwa Jirani na kukuacha ndio utaona faida yake japokuwa huenda huko nako hatofanikiwa zaidi.
Maana yangu ni kuwa: Wafanyakazi wa Umma mnatakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.