Pole sana bro!! ...ila kufuatia kinaendelea sasa iv kuwa vijana wengi hatukai kwenye ndoa. Sababu kubwa inaweza kuwa ni kushindwa kuwa "WANAUME"...usipaniki tulia!!
Vijana tunakuwa soft sana kiasi ambacho mwanamke anakutawala ndani ya nyumba, na ukija kushtuka unatawaliwa na unataka kuchana(...
Umeandika sana tena vizuri tu. ila kwa uelewa wangu, kuna mambo kadhaa nataka nikujulishe..
1. Dola
2. Uislamu na Ugaidi.
Dola
huwezi kushika dola bila ya kuwa na nguvu, na huwezi kuwa na nguvu mpaka upigane (vita moto au baridi) na ushinde. Hivi vita vya dola vilikuwepo zama na Zama, ambapo...
Nafikiri Mungu muumba aliliona hili kabla ya kutuumba ila ukaweka utaratibu mzuri , Namna ya kudhibiti hivi viumbe katika njia ya kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ila kwa kuoa. Hii imethibitika katika dini na hata mila za babu zetu kabla ya kuifaham dini waliishi hivyo na walidumu.
katika njia...
Nakushauri uingie field kabisa, yaaani uingie mtaan kama hapo upanga upite kwa madalali au vijiweni useme unaulizia guest za bei flan ( 20k au 15k). kwasababu huko utakutana na wenyeji zaidi na utapata uhalisia.
Au ingia google map andika lodge au guest house, then focus na eneo unalotaka...
Macho ya Trump dhidi Xi jiping ni kama vile "Nimekusamehe dogo usirudie tena kuleta jeuri"....USA won
Ila hii ni Fursa Mpya kwa China kufnya tathmini Upya, Wapi watamshinda USA.
......"Trade war continue"....
Mambo JFs, naomba kupata uzoefu juu ya hayo mambo mawili, yaan field work and employment.
1. Je? Kuna ukwel wowote kuwa upo uwezekano wa kuajiriwa wakati wa field work?
2. Je? Mwanafunzi anatakiwa awe na Mtazamo gani awapo mafunzoni mbali na kujua anakwenda kujifunza, ili kukidhi Uhitaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.