Recent content by Kachangamtoto

  1. K

    Kwa wale wanaotembea na waume za watu

    Wanaume hawatoshi labda Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Wito kwa Bunge letu tukufu: Mkithibisha hii Nepotism ya ajabu na zile Boeing ni TT, then hatufai!.

    Ipitishwe sheria mbunge awe na elimu ya kuanzia shahada ili tupate watau wanaojua kuongoza bunge vizuri
  3. K

    Mh.Waziri wa Elimu Ndalichako, hatuendi shule za Msingi hata kwa vitisho.(Maandamano yaja)

    Ajiandae kuhamishiwa kule mpakani mwa chi Mtwara Nanjilinji
  4. K

    Maana Halisi ya neno 'Mkuu' ni ipi?

    Mkolomije sio zuri,,, litafanya adi vyeti vyetu halali vya ndoa viwe feki
  5. K

    Fedha za nchi 7 kutoka Afrika ambazo zina thamani zaidi

    Nini kifanyike sarafu ya tanzania ipande samani?? Wanauchumi tupen data
  6. K

    Majaliwa atinga mgodini Buzwagi. Asema bado tunawahitaji wawekezaji, watakaa wakubaliane

    Pia always minerals has tendency of change. Inatakiwa kila mwez atume sample ipimwe ili tusiibiwe
  7. K

    Majaliwa atinga mgodini Buzwagi. Asema bado tunawahitaji wawekezaji, watakaa wakubaliane

    Huezi pata 90% ya madin kwenye mchanga maisha yako yote,
  8. K

    Majaliwa atinga mgodini Buzwagi. Asema bado tunawahitaji wawekezaji, watakaa wakubaliane

    Swali la kujiuliza hapo. Je amekwenda na wataalam wa madin wanaojua sampling technic?? Kama atakua hajafanya ivo atapewa feki sample! Pia tuna kitengo cha madini pale kunduchi beach (AMGC), kwann sample ipelekwe nje??
  9. K

    Pasipoti za TZ Bara zapigwa marufuku Zanzibar Heroes

    Pia Zanzibar haikutakiwa kupewa uanachama kwan soccer itakua imeshiriki kuitenganisha zanzibar
  10. K

    Pasipoti za TZ Bara zapigwa marufuku Zanzibar Heroes

    Zanzibar haitakaa ijitenge kamwe, mbona USA ni muungano wa nchi nyingi hawafikirii kujitenga nyie tz mna waza upuuzi
  11. K

    Zitto: Amri ya Rais Magufuli kuhusu 'Mchanga wa Dhahabu' imepotezea nchi Tshs 1.8 Trilioni Capital Gains Tax

    Kama nchi ingepata 1.8tr jiulize wao wanapata ngapi? Keanini was proces apa apa bongo tukajua wamepata madin kias gani, na ajira pia zitaongezeka, naona zito ashskua jinga
Back
Top Bottom