Hivi tulidai au tulipewa tu!? Sio Kama mfumo WA unyonyaji ulishabadilika kutoka kunyonya kimabavu hadi kiakili ndio maana hizo harakati za kudai uhuru zikaanza!
Unadhani mabeberu wangetukazia kiukweli tungepata uhuru? Si wangetutandika tu makofi wakafanya watakacho!
Kwahiyo bado tunatawaliwa...
Na alipomtuma Chakula alidhani atachukua muda gani kurudi? Au alidhani mpaka akirudi atakuwa ameshamrarua marunda!? Na Kama ilikuwa bado kwanini alinfungulia kwa kujiamini mashine ikiwa imesimama?
Au ni mtu wake kitambo tu ila bro ndio ameshtukia dili!?
Walikuwa na mazoea yakwenda kunywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.