Serikali makini yapaswa kua makini na kujiridhisha na uraia wa raia waishio mipakani wakati wote sio kasubiri wakinyooshewa vidole ndio waanze kukuhoji mambo ya uraia na vitu kama hivyo!
Tatizo la watawala wetu ukiwakosoa ndipo watakapo anza kuhoji ulipaji wako wa kodi, uraia wako nak;
mradi tu wakupe msukosuko rekodi zinaonyesha hivo! we mtu anakaribia miaka sabini miaka yote hiyo walikua wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.