Majengo ilikua bora zaidi kwa ajili yake, imebaki kuwa miongoni mwa sehemu bora sana zilizowahi kutokea katika maisha yangu..
Mungu anajua zaidi mioyo yetu kuliko tunavofahamiana, lakini katika akili zangu za kibinadam Mungu amevuna kilicho bora, hakika Brother Peter Lymo alikua ni Mzazi, mwalim...
Mkuu upo sahihi kwenye kugombania fito, lkn haupo sahihi kwenye kusema alimaanisha 3.6M kwa sababu kuu mbili
1. JF in option ya kuedit na Yeriko analijua hilo
2. Hata kama kuedit imeshindikana alipaswa japo kujibu yeye mwenyewe kuwa hilo ni kosa la kiuandishi hakuwa na maana ya 36 bali 3.6...
Ijumaa Saa 9 Alasiri mpaka saa 5:59:59:99 usiku ni siku moja na usiku mmoja,
Jumamosi Saa 6:00:00:00 usiku mpaka saa 5:59:59:99 usiku ni siku ya pili na usiku wa pili,
Jupili Saa 6:00:00:00 usiku mpaka wakati anafufuka Alfajiri ya jumapili ni siku ya tatu na usiku wa tatu, maandiko hayakutaja...
Ninatumia kisumbusi cha DSTV, TBC ndio local channel pekee inayopatikana humo, lakini siwezi kutazama TBC, inatazamwa mara mbili tu kwa wiki jumamosi na jumapili kwa ajili ya watoto kwenye kile kipindi cha Akili the brain.. after that ninasahau kama kuna channel inaitwa TBC..
Kiukweli kuangalia...
Nimejaribu kugoogle, record ya kwenda na kurudi kwa muda mfupi zaidi iliwekwa mwaka 2006 na mtanzania mwenzetu, Alitumia geti la Umbwe, kupanda na kushuka alitumia masaa 9 na dakika 19 ilikua 22 February 2006
source:Record Climbs - Climb Mount Kilimanjaro
Kilimanjaro Records
Fastest ascent...
umeieleza vizuri mno, unafaa ukafanye kazi maliasili na utali tena kitengo cha PR & Marketing kabisa.. Anaesoma ulichokieleza asipovutiwa ujue hawezi vutiwa hata iweje.. Hongera mkuu, Ila huyo aliyepanda mlima kwa mass matano alifika kileleni Uhuru peak kabisa? Is he still alive? Hiyo inaweza...
Mioyo ya ubinafsi, Waafrika wengi hawapendi kuona mwingine akiendelea, kwa mfano Tanzania kumekua na kasumba ya kuomba matajiri wakomolewe, wafilisiwe ili wote tuwe masikini.. badala ya kuwaza namna ya kuwezeshana au kujiwezesha ili aliyejuu umfuate hukohuko juu, tunaomba aliyejuu ashuke chini...
Huyu atakua sio mfuatiliaji wa bunge, na pia atakua sio muajiriwa maana tunajua watangazaji wengi wa kwenye media hawana mikataba ya ajira hivo inawezekana hachangii hata 10 ya hifadhi ya jamii.. Yeye pia alikua wapi kabla hajamsikia Bulaya, na hao wawakilishi anaowataja ni kina nani na walikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.