Recent content by kabambagusha

  1. K

    Tulioacha na kuachwa tukutane hapa kwa ushauri

    Ni bora uhadithiwe tuu. Unaweza kufa kabisa au kupata magonjwa kama ppresure mmh Mungu atutie nguvu. Ila kiikweli inaumiza mno hasa kama ilipenda toka moyon
  2. K

    Shirika la Ndege la Ethiopia limenifanya nateseka

    Kuna jamaa hivyo hivyo kwenye rwandair alipoteza mzigo zaidi ya miez mitatu ikapatikana alilipwa vizur mno
  3. K

    Shirika la Ndege la Ethiopia limenifanya nateseka

    Fungua kesi hapo lazima uwe milionea voz itabidi ulipwe hadi psychological tocha. We mkomalie mkurugenzi wa shirika hilo
  4. K

    Nini chanzo cha michepuko, je watarajiwa wa ndoa michepuko tunaizuiaje?

    Kama mkristo nenda mlilie Mungu madhabauni ukiwa ktk hali ya usafi Mungu atakupa wako na usiwe selective mwachie Mungu atakupa tuu mwenye hofu yake. Be blessed
  5. K

    COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

    Inawezekana umeshamuona pasipo kujua coz matendo Yake yanaonesha wazi juu ya uwepo wake
  6. K

    COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

    Mungu yupo jamaa kadadavua vilivyo juu ya uwepo wa Mungu
  7. K

    Msiba wa Komba: Kanisa Katoliki Mmejidhalilisha, Mmetufedhehesha

    Naomba nielekeze namna ya kujiunga na group hilo la viwawa
  8. K

    Tumeishi miaka mi 3,kauli zake zimekuwa zakuniumiza sana

    Acha bomoa nyumba ya mwenzako bana
  9. K

    Msanii Chege anaswa live na 'ndumba' jukwaani

    Badilika ndumb inepitwa na wakati tegemea sirGod only
  10. K

    Soul ties au vifungo vya nafsi

    Ni afadhari umejichagulia kuwa na sir devil
  11. K

    Soul ties au vifungo vya nafsi

    Mmh that right. Hiyo imeshapita but camp nyingine ingeandaliwa tena ili wengi wapate neema hii ya kufunguliwa. For me nimuona Mungu ktk camp hiyo
  12. K

    Wabunge wetu, tusaidieni utaratibu mpya wa Mfuko wa bima ya afya NHIF

    Wametumia njia ya kuweka wakwe wakijua c watu wengi watawaweke ili tuendelee kunyonywa yaan nnch hii acha tuu
Back
Top Bottom