Recent content by KABALE

  1. K

    Kuwajibishwa kwa Prof. Tibaijuka ni Muendelezo wa Ignorance at The Highest Levels! Mnashangilia Uji

    Je Mnakumbuka zawadi ya tofari la dhahabu alilozawadiwa Mr Ben Mkapa? Mnakumbuka simulizi ya suti alizopewa JK na tajiri wa Kiarabu ? Hamjapewa orodha ya walipokea za Stanbic Bank. List ipo itaanza kusambazwa muda mchache ujao. Tibaijuka Anna anatakiwa awajibike ndiyo. Lakini je...
  2. K

    Sababu za Tanzania kutengwa EAC na kina Museveni, Kagame, Kenyatta hizi hapa

    mkuu mi naona hawa jamaa waende tu sisi tubaki na sdc yetu tutasonga mbele tu. Sina uhakika kama comment yako iko sawa. Je unadhani chi yetu inaweza ikahimili speed ya Mauritius, ]Afrika ya Kusini, Botswana, Namibia au... Kama ni migogoro tayari tunalo la mpaka na Malawi. Vyema tuwe ndani ya...
  3. K

    Question from Ms Christine from BBC News to Pres. Kikwete about HUMAN TRAFFICKING...

    Siyo hilo tu.....Kuna gramatical errors kwenye majibu yake. Inasikitisha kwa kuwa mheshimiwa wetu amekuwa Waziri wa Mambo ya Nje kwa miaka 10 na Rais kwa miaka 7 na miezi kadhaa. Hajajenga confidence kweli... Hajakaa na washauri wake jinsi ya kujibu maswali. Yote tisa hali hii inajiotokeza mbele...
  4. K

    TANZANIA: tujiandae sasa majirani zetu waanza kututenga

    Tatizo au labda suala kubwa linalowakabili Watanzani(Bara) ni kutojitambua. Tunadhani katika umoja wowote ule uwe wa EAC au SADC tunakuwa watu wamoja. Hii si kweli na haitakaa iwe. Ndiyo maana linapokuja suala lolote tata kati ya Bara na Zanzibar, wenzetu kule wanakuwa wamoja zaidi kimsimamo...
  5. K

    Kinana amburuza Msigwa kortini

    Labda ni makini kwa mkeo. Mchezee atakurudi wewe vilevile utaunzwa kam sokwe mtu Arabni... Alshabab
  6. K

    Wilfred Lwakatare: Mrejesho kutoka mahabusu Segerea

    Nimesoma post hii mstali kwa mstali. Mwisho, chozi limenitoka. Namafahamu huyo W.Lwakatare tangu tukiwa wadogo. Sikujua anaweza kuandika makala yenye funzo kubwa hivi. Pole sana kamanda. Mwenyezi Mungu akufariji wewe, mkeo na watoto wako. Vilevile, maandiko haya vyema wakayapata wanachama...
  7. K

    Jasson Rwekiza (mbunge wa Bukoba Vijijini) unawadhalilisha waliokuchagua

    Kwa wale wasihofahamu siasa za Bukoba(V) ni kwamba Rwehikiza anajua hatarudi kwa Bunge. Na Karamagi kuchaguliwa kuwa mbunge ni sawa na ngamia kupenya tundu la sindano. Political landscape imebadilika, CDM wanapaswa wapeleke mtu makini. Kiti ni chao..Nini maana ya CCM bana shit for ever
  8. K

    Lowassa kukabidhiwa tuzo ya heshima iringa jumapili

    Hakika huyu ni mteule wa Mungu Umekunywa glass ngapi za gongo>...............? na gramu ngapi za bangi umuvuta ?
  9. K

    Moyo wa kuridhika na umuhimu wake kwenye mahusiano ya kimapenzi

    Asante sana kwa jibu lako. u=Inaonesha hubahatishi unapopewa hoja ya kujibu..
  10. K

    Clouds FM (Power Breakfast): Ni sahihi kabisa Bunge lisionyeshwe LIVE!

    Kwa wale wanaoangalia tvs za kimataifa say CNN, BBC nk watakubaliana nami kwamba vikao nyeti ka vya kamati za Senate na Bunge (House of Commons) vinaonyeshwa ''live'' na hata kama wanajadili mambo nyeti ya nchi zao mpaka hata watu wa Manzese, Butakya, Masiwani n.k tunapata habari. Iweje bunge...
  11. K

    Nitamuunga mkono mgombea Ubunge yeyote wa chama changu (CCM) jimbo la Ubungo kumng'oa Mnyika

    80% ya unyanyasaji wa kijinsia upo huko alikoamia. Subiri joto la kukumbatiwa litakapo fika juu...atapata matokeo. Bye bye political waste... Mungu ampe umri mkubwa atakuja kutambua maana ccmeeh.
  12. K

    Picha:semina ya mikakati ya kuondoa tatizo la ajira nchini

    Nadahani kuna NAKISI ya fikra bora. Serikali ni mojawapo ya mdau mkuu wa kutengeneza ajira nchi yyt duniani. Kwa mtindo wetu hapa Tanzania wa kununua magari ya kifahari ya Shs Mil 200 ina maana ni '' mis-allocation of public resorces''. Pesa hizi mfano, zingeweza kuleta tofauti kwenye kijiji...
  13. K

    Rais wa Kongo (DRC) Joseph Kabila awasili jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi

    Enzi za akina Mwalimu Nyerere, Samora na Kaunda si akina hawa. Si ajabu unakuta amekuja kutanguliza 'mawe' ( diamond )na kupokea ripoti za vitega uchumi vyake. Viongozi wa Afrika wengi nyakati hizi ni watu wa deal- deal tu. Kama uamini fanya uchunguzi utabaini makubwa.......
Back
Top Bottom