Recent content by k29

  1. k29

    Haya ndio majaabu ya 9 desember

    Zaburi 9:12 [12]Maana mlipiza kisasi cha damu awakumbuka, Hakukisahau kilio cha wanyonge. When he maketh inquisition for blood, he remembereth them: he forgetteth not the cry of the humble.
  2. k29

    Fikra Tunduizi: Ukatili wa Polisi dhidi ya CHADEMA unaashiria nini?

    Kuna taarifa nimeona huko Nepal, kuna siku inafika mifumo uliotegemea itakulinda, inabadilika na kukuwinda wewe mwenyewe.
  3. k29

    Rostam Azizi atuambie huu Mkataba ulihusu nini?

    Ndo umemaliza au ina endelea mkuu. umetuacha njiani.
  4. k29

    PreGE2025 Kwanini tumefika hapa na kwanini kuna giza mbele ya Taifa la Tanzania

    Kuna kitu ndani yako Mungu amekieka, wengi hatujakijua lakini usiache kutupasha yale yajayo, ili yakitokea utukufu wa Mungu ujizihirishe hapa duniani.
  5. k29

    PreGE2025 Naona safari ya Askofu Gwajima kurudi CHADEMA 2025

    Njoo hata na ID mpya, ili utupe za jikoni kabisa. Ili yakija kutokea tujue kabisa ulituambia na sisi tusiwe na wasiwasi.
  6. k29

    Nauza Mazda Verisa

    Kuna watu wanasema km 18 kwa lita 1 ya wese
  7. k29

    Nauza Mazda Verisa

    Mkuu hii chuma ipo kwenye mipango yangu, embu fanya hata kwa 16 kamili. Tunaeza kufanya jambo
  8. k29

    Naomba ushauri kulingana kipato changu na maisha ninayoishi

    Hiyo ni anasa mkuu, kwa hicho kipato inabidi ushindie biscuit za tiffany na mo energy.
  9. k29

    Hii ni kawaida au tatizo

    vipi harufu ya mavi, mtu akiwa anakunya pia unapenda mkuu?. utakua unaenda kukaa kwenye vyoo vya watu ili unuse harufu ya mavi yao.
  10. k29

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    nililipwa mkuu sema nilikuwa na wasiwasi sana
Back
Top Bottom