Recent content by K23

  1. K

    Nafasi ya Mwenyekiti: CCM ndiyo inayoongoza kwa demokrasia tangu kuanza kwa vyama vingi 1992!

    Ku.simamisha mtu mmoja kwenye nafasi ya uenyekiti ndio democrasia?
  2. K

    Magufuli avuruga mchoro wa Lowassa na CHADEMA!

    Watu wengine bana...cha ajabi ni kipi kwa mh rais wetu kumpongeza Kenyatta Hata kama hawapendani?? Kwani nani hajui Kenyatta na magufuli kua wanatofautiana na why hivyo inafahamika?? Wala hiyo haikua agenda kubwa ni kwamba magufuli na ccm walikua wanamsaport raila na lowasa na chadema...
  3. K

    Naiomba serikali, chonde chonde imuhifadhi Tundu Lissu kwa muda kidogo, hali si shwari uraiani

    Kauli yako wewe mtoa post ndio inayoligawa taifa..hakuna popote watu wanapolalamika ni uhayawani wako tu.kwani nani hajui yanayoendelea kati ya Lisu na serikali??? Ukaweke hiyo post kwenye wall ya watoto wa chekechea tuna akili timamu..tuwaache wana siasa wafanye kazi yao ya siasa wengine kila...
  4. K

    Naiomba serikali, chonde chonde imuhifadhi Tundu Lissu kwa muda kidogo, hali si shwari uraiani

    Kauli yako wewe mtoa post ndio inayoligawa taifa..hakuna popote watu wanapolalamika ni uhayawani wako tu.kwani nani hajui yanayoendelea kati ya Lisu na serikali??? Ukaweke hiyo post kwenye wall ya watoto wa chekechea tuna akili timamu..tuwaache wana siasa wafanye kazi yao ya siasa wengine kila...
  5. K

    Naiomba serikali, chonde chonde imuhifadhi Tundu Lissu kwa muda kidogo, hali si shwari uraiani

    Kauli yako wewe mtoa post ndio inayoligawa taifa..hakuna popote watu wanapolalamika ni uhayawani wako tu.kwani nani hajui yanayoendelea kati ya Lisu na serikali??? Ukaweke hiyo post kwenye wall ya watoto wa chekechea tuna akili timamu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. K

    Magufuli ataligharimu taifa, wengi wanafurahia pasipo kujua athari mbeleni

    Very true ukianika ukweli hivyo watakuita unapinga Mara ww chadema Mara nyumbu ila time will tel.hawa watu wanafuata mikataba tuliowekeana nao.mm pamoja na kumshukuru mh.rais kwa barua zake nadhani angeanza kujiondoa kwenye hiyo mikataba mibovu na pia mikataba yote ya serikali iwekwe wazi ili...
  7. K

    Natafuta mume

    Niulize mtu akipost akasema tukutane pm anamaanisha nini?? Naona watu wanapost tu hivyo nashindwa kujua pm ni wapi jamani msaada pls
  8. K

    Rais Magufuli: Hakuna mpinzani atakayekanyaga kwenye serikali yangu

    Hahahahaaaaa nimecheka sana kwa kauli ya mkuu then leo kaweka mpinzani...lakini huenda kitila sio mpinzani labda alikua anatumwa kivuruga vyama vya upinzani
  9. K

    TRA kupiga mnada nyasi bandia za timu ya Simba kwa kushindwa kulipa kodi

    Kwani kodi yenyewe inayodaiwa na serikali ni kama sh ngapi??
  10. K

    Vyombo vingi vya habari vya nje Vimepotosha kuwa Rais Magufuli ndiye aliyemkamata Ney wa Mitego

    Sasa kwani sio kweli?? Lolote linalofanywa na chombo cha serikali kama polisi ni kwa amri ya wakuu Wao ambao pia wameamriwa toka kwa bosi Wao mkubwa..sasa jiulize bosi Wao mkubwa ni nani??
  11. K

    Kurugenzi ya Habari Ikulu mwambieni Rais haya kabla ya kulaumu vyombo vya habari

    Huyu jamaa unajua sana..tunahitaji vichwa kama hivi ndani ya serikali
  12. K

    Watumishi wa umma kutopanda vyeo/madaraja hadi wapitie mafunzo maalumu

    Kama hili ni kweli basi serikali ikiri tu kua hawana hela za kuwalipa watumishi ila wanazo za kutumia Wao kwenye ngazi ya kisiasa.haiwezekani Mwaka wa pili sasa hakuna ajira mpya na hakuna kupanda madaraja.
Back
Top Bottom