Habari wanandugu? kuna jamaa yangu amenunua Hometech decoder nataka kufunga ila sijui frequency zake wala symborate
please kama kuna mtu anazijua naombe msaada
Hawa Nhif kwa mtu alizidi umri wa miaka18 ni Tzs mil 1,200,000 per year
Under18 50400 per year
au fika kwenye Ofisi zao
Kama temeke ofis zao zipo Tazara..
Bima ya Nhif huwa
Kama hajalipiwa muda mrefu inafungwa na huwezi kuitmia ila kama ungekuwa upo chini ya miala18 ungefika katika ofisi zao wangekupa utaratibu.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.