Recent content by k u

  1. k u

    Wapi nitapata powervu software ya hometech combo receiver

    Habari wanandugu? kuna jamaa yangu amenunua Hometech decoder nataka kufunga ila sijui frequency zake wala symborate please kama kuna mtu anazijua naombe msaada
  2. k u

    Napenda Kuuliza kitu kuhusu NHIF Bima Ya Afya

    Hawa Nhif kwa mtu alizidi umri wa miaka18 ni Tzs mil 1,200,000 per year Under18 50400 per year au fika kwenye Ofisi zao Kama temeke ofis zao zipo Tazara..
  3. k u

    Napenda Kuuliza kitu kuhusu NHIF Bima Ya Afya

    Bima ya Nhif huwa Kama hajalipiwa muda mrefu inafungwa na huwezi kuitmia ila kama ungekuwa upo chini ya miala18 ungefika katika ofisi zao wangekupa utaratibu.....
  4. k u

    Natafuta mchumba baadaye kuwa mme

    Mm albino ila nina hofu ya mungu....
  5. k u

    Madereva 3 wa bodaboda wanahitajika

    Hii sasa kali aisee
  6. k u

    premier betting nini maana ya handicap 4, 5 na 6

    duuuh umetisha kijana
  7. k u

    premier betting nini maana ya handicap 4, 5 na 6

    Asian handcap ni Option gan?
Back
Top Bottom