Yasser Kagire
Member
- Apr 12, 2013
- 31
- 21
Mimi nilikua mwajiriwa katika kampuni moja Binafsi, na pia nilikua mwanachama katika Mfuko wa Bima Ya Afya ya Nhif. Sasa Niachishwa kazi. Je kuhusu bima yangu Ya Afya nitakua nalipiaje? Maana nilikua nakatwa Asilimia 6 ya mshahara wangu juu kwa juu inalipwa Nhif
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app