Haya umeshinda, utakapolizwa usisite kuja kutupa mrejesho.Kwani mimi ni mjinga Mkuu. Naitwa Joka Jeusi
Naja jokanjoo mkuu
Nije Pm au nyumbani kwako kutazama hizo bodaboda?Nakusubiri Mkuu
Kwani hata nikija nyumbani kwako, si utamuhabarisha mkeo kuwa huyu ni dereva wa kike wa bodaboda?Njoo PM, nyumbani mke wang yupo
Ok, ngoja basi nioge kisha nije huko Pm nikiwa msafi.Mke wang anacheti cha wivu na mimi ndiye nimemuajiri
Kama safi safi ila ikiibiwa ndio bas tena chet kushneiView attachment 930954
Cheti cha division foo ya 32 vipi?Hahaha!! Ikiibiwa cheti hukichukui mpaka umalize deni lote
Cheti cha division foo ya 32 vipi?
Hicho akitoboe afu afunge kamba ampe kijana wake aburuze kama gari.Hicho muachie mjukuu wako mkuu
Habari wakuu.
Ninapiki piki tatu, nahitaji vijana watatu waadilifu wa kuziendesha. Boxer per day 8000/=, haugue per day 7000/=
Dereve anapaswa awe mkazi wa Dar.
Dereve unapaswa ulete kila siku hesabu na ukirusha siku mbili mfululizo utanyang'anywa pikipiki.
Dereva utaacha cheti chako cha kidato cha nne/sita kama mdhamini wako upewapo pikipiki.
Maana yake kama huna cheti usijihangaishe kuomba.
Kama upo tayari njoo Pm.