Recent content by k-koo

  1. K

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Kauli ya Pinda inafanyiwa kazi.na kweli tutakoma ni kichapo kwa kwenda mbele, sasa sijui safari hii atasingiziwa nani kuhusika na tukio hili. Haya kazi kwako mwigulu andaa video nyingine ya mipango ya kumdhuru sheikh Ponda
  2. K

    Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

    hata pinda yampasa akahojiwe na chagonja kwa maana inaonyesha ni jinsi gani anavyouelewa mpango mzima wa mauaji ya wapendwa wetu.r.i.p. Dada juddy na makamanda wengine mliomwagika damu kwa ajili ya watz. Damu yenu ni chachu ya mapambano
  3. K

    Picha: Chukua chako mapema, Tanzania

    Nadhani hata huo mlima k'njaro MWANA KIPENZI RIZ A.K.A Mzee wa milori a.k.a mzee wa petrol stn. a.k.a mzee wa mijengo ukitaka bingwa wa dili chafu anaulia timing bado hajaupatia soko
  4. K

    Picha: Chukua chako mapema, Tanzania

    Hata mlima tukicheza wanaweza kuondoka nao. Si mnakumbuka hata faru George kule ngorongoro walimkinana
  5. K

    Mhariri anayeichafua CHADEMA asimamishwa na Jukwaa la Wahariri

    Huyo mhariri lazima atakuwa anachukuwa zaidi ya buku saba pale lumumba str.magamba camp.
  6. K

    Taarifa ya polisi mlipuko Arusha; Victor Ambros kufikishwa mahakamani

    kazi kwelikweli...............................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????????
  7. K

    Bombing: Tanzania frees 3 Emiratis

    ndugu zangu wanajamvi kwanza tujipeni pole kwa janga lililotukuta majuzi kanisani Arusha kwa kuwapoteza ndugu zetu pamoja na wengine kujeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili.Sasa niongelee hii aibu iliyolikumba taifa kwa ujumla wake, Polisi wetu ambao wanalipwa pesa kutokana na kodi zetu...
  8. K

    Hakimu wa kesi ya Lwakatare yupo likizo, dhamana imeshindikana kutolewa

    Pamoja na kumnyima kamanda haki yake ya msingi . Eti kwasababu hakimu yupo likizo anakula bata na mamsapu je?. Ni mahakama zote huku duniani zinavyofanya kazi.au nae anapitiaga lumumba str. Kuchukua bahasha
  9. K

    Hakimu wa kesi ya Lwakatare yupo likizo, dhamana imeshindikana kutolewa

    Habari za leo wanajamvi. pamoja na ugeni wangu wa kuchangia hapa jamvini nina suala ambalo ningepata mchango wenu wa mawazo ili wengine tufahamu. inakuwaje mtu mmoja anakuwa yupo likizo na asababishe watu wengine wakose haki yao ya kikatiba ya kukosa dhamana? karibuni wanajavi.
Back
Top Bottom