Nahic wewe zito humfatilii hats kupitia mitandao " hukuona juz alikuwa na wageni huko jimbon kwake kwa ajiri ya miundo mbinu na kadhalika" zitti in maarufu kabla hats ya bwana mkubwa so usiongee kama anadil na mambo ya DSM " alichoongea hapo ni issues ya taifa sio DSM elewa mkuu sio kukurupuka...
Kama alikuwa wa maana zitto" na kama alikuwa na nia ya kujng'oa madarakan ccm ' kwa nn hakufanya hivyk mwaka 2015, akajifanya yeye na chama chake kusimamisha mgombea " tena mmama' alihalk alijuwa fika kwamba yule mama hatolata uraisi" lakin kafanya figisu figusu ilimradi tu apunguze kura" vip...
Daa mi namshaur tu huyu bwana kitwanga anyamaze tu kimya asiingilie hii game ya bshop na mkuu wa mjini " kwa sababu gwajima hachokozeki jamani" asije akajuta kwa alichosema " yeye akatulie tu baa aagize kitwanga zake apunguze sress za maisha kisha asonge
Ebu weka vizur Uzi wako huu " ili kumfanya MTU kuacha kitu hatar kiafya kama hichi lazma ujikite zaid kwenye kutoa madhara yake tena kwa kina zaid kulikoni kumwambia kijana Apache wakati ukizngatia vijana wengi sana sana humaliza Shida zao kwa kufanya mapenz binafs" hivyo waelezee sababu na...
Ukiwa unaingizwa maabusu unakabidhisha kila kitu mapokezi unaingia wewe kama wewe " na ukiwa unatoka unaenda mahakamani unarudishiwa kila kitu chako pale mapokezi " hivyo unaweza kufanya mawasiliano na ndugu na jamaa hata ukiwa njian kuelekea mahakamani" na hata ufikapo mahakamani bado...
Ndugu jama na marafiki" mwenzenu ndugu yangu anatafuta kazi jamani" anayo bachelor of marketing na uzoefu wa miaka miwili katika field ya marketing " tumsaidien jaman ndugu yetu" mawasiliano ni 0714631706
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.