Recent content by K-Boko

  1. K

    Watangazaji wa ITV na Kiswahili potofu!

    Sio slip of the tongue kwa sababu wanalirudiarudia na sio mmoja. Hayo maneno mawili "lakini" na "kuweza" wanayatumia vibaya hadi inakera!
  2. K

    Watangazaji wa ITV na Kiswahili potofu!

    Nadhani tuko kwenye kurasa tofauti.
  3. K

    Watangazaji wa ITV na Kiswahili potofu!

    Nawe nani kakulazimisha kujibu hapa? Au kiherehere tu!
  4. K

    Lubuva: Kufutwa Uchaguzi Zanzibar, hakuhusiani na Tanzania nzima

    Sio kweli jamaa. Acha upotoshoji!
  5. K

    Watangazaji wa ITV na Kiswahili potofu!

    Hasa katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu tumekuwa tukisikia Kiswahili kibovu kikitumiwa na baadhi ya watangazaji wa ITV na hasa matumizi ya neno "Lakini". Kwa mfano, mmoja wao alisema: "...Watazamaji na wasikilizaji wetu mnaojiunga sasa na ITV, Radio One Stereo 'lakini' Capital Radio...."...
  6. K

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    Typical of a confused fellow!
  7. K

    Spencer Lameck: Lowassa avunja rekodi yake mwenyewe

    Kwa "kukoleza vyema kampeni za UKAWA" ndio "kuitendea haki fani yake"? Nyamaza kama hujui FANI za watu.
  8. K

    Magufuli yupo wapi

    Hahaa! JF bana!!
  9. K

    Nijiue ama? Kutokana na hii picha na hali yangu

    JF bana! Yaani nimecheka mpaka basi!!
  10. K

    Natafuta mbinu ya kumuona mchawi, nipeni utaalaamu

    Hivi hao 'wataalam' huwa wanachoka (kwa sababu mbalimbali kama vile uzee) hizo shughuli na kuacha au kustaafu?
  11. K

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    Badala ya kuchoshana, we sema unachotaka kusema!
  12. K

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    Wananikera baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva wanaoiga 'beats' za Kinigeria. Nampongeza Diamond Platnumz na wenzake wengine ambao wameendelea kuikumbatia na kuikuza Bongo Fleva ili na Watanzania tujidai tuna muziki wetu. Tumejitahidi kufurukuta katika michezo na sanaa nyingine imekuwa ngumu sana...
Back
Top Bottom