Recent content by k-bee

  1. k-bee

    JamiiForums Tanzania Forex imenifilisi, nauza monitor yangu 🙏 naombeni msaada wenu

    Hutaki maarifa unataka signal wacha unyoshwe
  2. k-bee

    JamiiForums Tanzania Mafundi Sanifu Maabara wa sekondari wamewakosea nini Walimu

    Malenga wapya muhali gani?? Me muhenga naendelea vyema na ombi langu kubwa ni Mola atuvushe katika hali yetu ya Taifa kwa sasa. Kuna uzi uliwekwa humu kama kero za mafundi sanifu maabara wakiiomba(kuitaka) serikali kuangalia upya maslahi yao na miundo yao ya mishahara na hata uboredhaji wa...
  3. k-bee

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata baskeli za aina hizi kwa Tanzania Bara

    Nisaidi Nisaidie mana sijajiunga na jukwaa la tiktok
  4. k-bee

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata baskeli za aina hizi kwa Tanzania Bara

    Rejea mada tajwa..! Natafuta baskeli za umeme je niwapi? Kwa Tanzania bara ambapo nitapata mwenye kujua anijuze
  5. k-bee

    JamiiForums Tanzania Kukulana mchana vs kukulana usiku

    Form 5 nenda twuiti acha kutwit
  6. k-bee

    JamiiForums Tanzania Broiler sio kuku wa kula kabisa!!

    Kataa broiler kataa watoto wasio na baba( mayai).....Afrika tunajiletea janga kula mayai ya kisasa
  7. k-bee

    JamiiForums Tanzania Leo ndio nimemuona Paschal Mayala hapa Dodoma, kumbe Grand Pa kabisa

    Bila picha huu ni utapel kama utapel mwngne
  8. k-bee

    JamiiForums Tanzania Kuna nini katikati ya mbuga ya Serengeti?

    Nipe link tafadhari🙏🏾
  9. k-bee

    JamiiForums Tanzania Utabiri 2024; mengi aliyotabiri yameanza kutokea

    Acha upotoshaji...ungeleta zamani tungekuelewa
  10. k-bee

    JamiiForums Tanzania Kuhusu plate number za "SSH25 30"

    Tumeichagua wenyewe.......!!! Sasa tunalia nayo CCM mbele kwa mbele
  11. k-bee

    JamiiForums Tanzania Msaada tutani vifurushi vya post paid (SME)

    Bado
  12. k-bee

    JamiiForums Tanzania Msaada tutani vifurushi vya post paid (SME)

    Kwema wanajamvi?? Nimeunga kifurushi cha Voda SME POST PAID cha Tsh 15,000/= kwa mwezi huu ni mwezi wa 3 natumia....!! Shida nikitaka kulipa baada ya matumizi hela haiendi kwa akaunt yangu inakuwa UNSUCCESSFULL numelipa mara moja siku ya kuiactivate...!! Msaada hapo nifanyaje mana siku unaweza...
  13. k-bee

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waliofukuzwa Shule kisa wazazi wao kuwa CHADEMA warejeshwa shuleni

    Huyo mkuu wa shuke ni 💩 kama💩 mengne🚮....!! Eeeh Mwenyeenzi Mungu wa Mbinguni iponye nchi HeadTicha🚮....!! Kati ya watu weng mazuzu ni walimu...!!
Back
Top Bottom