Recent content by k-bee

  1. k-bee

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Kitanzania (bara) usiende mjini; kijijini kunatosha

    Sahizi huku kijijini kazi kwa siku ni tsh elfu saba na chakula unapata....!! Kama unabidii unalala na hta elfu kumi na nne na msosi umepiga siku imeisha hiyo Umeoona....! Kijijini kitamu sasa kwa sasa dili zote za town now vijijini fresh tu.....!! Nipo zangu huku bulubulu
  2. k-bee

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Kitanzania (bara) usiende mjini; kijijini kunatosha

    Sahizi huku kijijini kazi kwa siku ni tsh elfu saba na chakula unapata....!! Kama unabidii unalala na hata elfu kumi na nne na msosi umepiga siku imeisha hiyo
  3. k-bee

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Kitanzania (bara) usiende mjini; kijijini kunatosha

    Tembea uone.....!! Huku bado ujamaa mwingi
  4. k-bee

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Kitanzania (bara) usiende mjini; kijijini kunatosha

    Kama kichwa kinavyojieleza..; Nimefanya uchunguzi wangu mdogo nimegundua maisha ya kijijini yana unafuu na raha zaidi ya maisha ya mjini kwa kijana anayejitafuta..! Kijijini maisha si mazito kama mjini mana kijijini unapata mboga za majani bure kabisa kwa majirani shambani au unapanda mwenyewe...
  5. k-bee

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaostahili kuhudumiwa na kupewa pesa

    Uzi huu bila picha haupendezi
  6. k-bee

    JamiiForums Tanzania Forex imenifilisi, nauza monitor yangu 🙏 naombeni msaada wenu

    Hutaki maarifa unataka signal wacha unyoshwe
  7. k-bee

    JamiiForums Tanzania Mafundi Sanifu Maabara wa sekondari wamewakosea nini Walimu

    Malenga wapya muhali gani?? Me muhenga naendelea vyema na ombi langu kubwa ni Mola atuvushe katika hali yetu ya Taifa kwa sasa. Kuna uzi uliwekwa humu kama kero za mafundi sanifu maabara wakiiomba(kuitaka) serikali kuangalia upya maslahi yao na miundo yao ya mishahara na hata uboredhaji wa...
  8. k-bee

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata baskeli za aina hizi kwa Tanzania Bara

    Nisaidi Nisaidie mana sijajiunga na jukwaa la tiktok
  9. k-bee

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata baskeli za aina hizi kwa Tanzania Bara

    Rejea mada tajwa..! Natafuta baskeli za umeme je niwapi? Kwa Tanzania bara ambapo nitapata mwenye kujua anijuze
  10. k-bee

    JamiiForums Tanzania Kukulana mchana vs kukulana usiku

    Form 5 nenda twuiti acha kutwit
  11. k-bee

    JamiiForums Tanzania Broiler sio kuku wa kula kabisa!!

    Kataa broiler kataa watoto wasio na baba( mayai).....Afrika tunajiletea janga kula mayai ya kisasa
  12. k-bee

    JamiiForums Tanzania Leo ndio nimemuona Paschal Mayala hapa Dodoma, kumbe Grand Pa kabisa

    Bila picha huu ni utapel kama utapel mwngne
Back
Top Bottom