Sahizi huku kijijini kazi kwa siku ni tsh elfu saba na chakula unapata....!! Kama unabidii unalala na hta elfu kumi na nne na msosi umepiga siku imeisha hiyo
Umeoona....! Kijijini kitamu sasa kwa sasa dili zote za town now vijijini fresh tu.....!! Nipo zangu huku bulubulu
Sahizi huku kijijini kazi kwa siku ni tsh elfu saba na chakula unapata....!! Kama unabidii unalala na hata elfu kumi na nne na msosi umepiga siku imeisha hiyo
Kama kichwa kinavyojieleza..; Nimefanya uchunguzi wangu mdogo nimegundua maisha ya kijijini yana unafuu na raha zaidi ya maisha ya mjini kwa kijana anayejitafuta..!
Kijijini maisha si mazito kama mjini mana kijijini unapata mboga za majani bure kabisa kwa majirani shambani au unapanda mwenyewe...
Malenga wapya muhali gani?? Me muhenga naendelea vyema na ombi langu kubwa ni Mola atuvushe katika hali yetu ya Taifa kwa sasa.
Kuna uzi uliwekwa humu kama kero za mafundi sanifu maabara wakiiomba(kuitaka) serikali kuangalia upya maslahi yao na miundo yao ya mishahara na hata uboredhaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.