Recent content by k-bee

  1. k-bee

    Wapi nitapata baskeli za aina hizi kwa Tanzania Bara

    Nisaidi Nisaidie mana sijajiunga na jukwaa la tiktok
  2. k-bee

    Wapi nitapata baskeli za aina hizi kwa Tanzania Bara

    Rejea mada tajwa..! Natafuta baskeli za umeme je niwapi? Kwa Tanzania bara ambapo nitapata mwenye kujua anijuze
  3. k-bee

    Kukulana mchana vs kukulana usiku

    Form 5 nenda twuiti acha kutwit
  4. k-bee

    Broiler sio kuku wa kula kabisa!!

    Kataa broiler kataa watoto wasio na baba( mayai).....Afrika tunajiletea janga kula mayai ya kisasa
  5. k-bee

    Leo ndio nimemuona Paschal Mayala hapa Dodoma, kumbe Grand Pa kabisa

    Bila picha huu ni utapel kama utapel mwngne
  6. k-bee

    Kuna nini katikati ya mbuga ya Serengeti?

    Nipe link tafadhari🙏🏾
  7. k-bee

    Utabiri 2024; mengi aliyotabiri yameanza kutokea

    Acha upotoshaji...ungeleta zamani tungekuelewa
  8. k-bee

    Kuhusu plate number za "SSH25 30"

    Tumeichagua wenyewe.......!!! Sasa tunalia nayo CCM mbele kwa mbele
  9. k-bee

    Msaada tutani vifurushi vya post paid (SME)

    Kwema wanajamvi?? Nimeunga kifurushi cha Voda SME POST PAID cha Tsh 15,000/= kwa mwezi huu ni mwezi wa 3 natumia....!! Shida nikitaka kulipa baada ya matumizi hela haiendi kwa akaunt yangu inakuwa UNSUCCESSFULL numelipa mara moja siku ya kuiactivate...!! Msaada hapo nifanyaje mana siku unaweza...
  10. k-bee

    Wanafunzi waliofukuzwa Shule kisa wazazi wao kuwa CHADEMA warejeshwa shuleni

    Huyo mkuu wa shuke ni 💩 kama💩 mengne🚮....!! Eeeh Mwenyeenzi Mungu wa Mbinguni iponye nchi HeadTicha🚮....!! Kati ya watu weng mazuzu ni walimu...!!
  11. k-bee

    Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo

    Why namba ya kuchangia......!! V8 mpya maafa msaada💔
Back
Top Bottom