Ji kweli ila kama mwanaume ambaye ambaye ameaminiwa na watanzania wote ji lazima asimame kwenye misimamo yake na afanye kile kitu sahihi kwa watanzania wote bila kujali uchama wala udini. Hiyo ndo njia ya pekee ya kuutoa uchafu ndani ya chama
Hapana ndugu. Kosa likifanyika ni lazima mkosaji awajibike. Kwa hiyo wakwepa kodi ilifaa wapate penalties kwa kukaa na pesa za serikali. This is not serious. Tutaendelea kuwafuga hawa wezi mbaka lini???
Sisi tunataka kila mtu awajibike na ale kwa jasho lake nq hqki itendeke popote pale. Hayo yote yakikaa vizuri hakuna mtu atahitaji kutoa rushwa wala mtu atahitaji kupokea rushwa den we will have new Tanzania ambayo watanzania tunaipenda n not otherwise. Kwa mfano kama mtu una uhakika kua ukifika...
Jaman tuache ushabiki wa chama tuangalie maslahi ya nchi jamani. Kwani angeenda nchi ingepata faida gani? Mwache atulie tujenge nchi yetu hapa. Kwani kingereza ndo kimejenga barabara,kimenunua vitanda muhimbili, au kitatatua matatizo yetu???Mwacheni aimarishe uchumi wetu jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.